mainjinia wa UDSM warudisha umeme mtaani

mainjinia wa UDSM warudisha umeme mtaani

Kashindi

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2011
Posts
349
Reaction score
250
ilikuwa jana mida yaal saa 10:00 usiku nikiwa chumbani ghafla la mgambo likalia tukajua hapa kuna jambo. Kwa wale waoga tukatoka mapema vyumbani kwenda kusikiliza yanayotokea. "jamani hii ni siku ya pili hakuna umeme, waengi kati yetu wanatest zaidi ya moja wiki hii, mataa hayawaki PC zetu hazina moto hivyo hakuna kusoma si ndo hivyoo?alisikika kijana mmoja aliyeonekana kuwa ndio kiongozi wa mkutano ule wa wanazuoni wa chuo kikuu cha Dar es salaam. Watu wote wakajibu ndiyoooo. "je sehemu zingine kuna umeme auy haupo?" watu wakajibu upooo. Jamaaa akasema sasa tuishinikize Tansesco itupe umeme haraka sana. Kama vipi twendeni barabarani tukadai umeme. Watu kwa morali ya juu sana wakaijibi ndiyoooo
ghafla wimbo wa Tunataka umeme ukaanza kuelkea barabani . Magari yakasimamishwa nyimbo zikaendelea. Poliai haoo wakaja na magari yao wakiwa wengi huku wengine wenye nyota zao wakitaka kuwasikilaza wanafunzi na madi yao. Foleni ikaongezeka magari yakawa mengi. Wanazuoni wakasema sisi tunachotaka ni umeme tu la sivyo hakieleweki kwanini nis sisi tu tusiona umeme mkuu kuona hivyo akatoa ahadi " jamani tulieni naomben mda wa saa moja umeme utakuwa umerudi wanafunzi waksema ole wako uzichezee akili zetu utatujua kama sisi ni UDSM au vipi. Kweli bwana baada ya nusu saa umeme huoooooo
haaa kumbe Tansco wanafanya makusudi??
 
Kijana soma, usije ukakamatwa kwenye masomo yako ukarudi mtaani. ukishamaliza elimu yako uje mtaani upambane na maisha, migomo chuoni haisaidii
 
We ni mburu.. yani ulivyoweka hiyo title na contents haziendani, unapotaja mainjinia tunatarajia walitumia physics na utundu wao...we unaleta ngonjera then unasema 'mainjinia warudisha umeme'! hufai hata kuwa mdaruso! Unaaibisha engineers wa hicho chuo moron
 
wamerudisha kwa makelele nilijua wamesaidia kurectfy fault pole zao hatawale bridge course nao maengeneer? 1 2 3 4?
 
Migomo ilishapitwa na wakati we rukaruka tu ukimaliza shule tukutane mtaani utajua maisha ni nini.
 
Kijana soma, usije ukakamatwa kwenye masomo yako ukarudi mtaani. ukishamaliza elimu yako uje mtaani upambane na maisha, migomo chuoni haisaidii

Acha kumtisha unadhani bila kugoma watasikilizwa! Nakumbuka mdogo wangu aligoma mwaka 2007/2008 kisa 40% mbona iliondolewa leo hii wanafunzi wanaosoma degree za sayansi na eng wanasomeshwa kwa kilipiwa 100% kutokana na mgomo ule. Waache vijana watafute haki zao.
 
Back
Top Bottom