Mahusiano ya mtandaoni

hahaha

CHAI
 
Wewe najua umepishana na gari la mshahara, huyo mnigeria ni kama mimi tu alikuwa anaku text na umefail mbaya, hilo lilikuwa tajiri na mapesa yake, alikupima jinsi vile utampokea kama hana kitu, lkn hukumuelewa, ni kama mimi hivi na mapesa yangu nabaki nayo kwa sababu umenitajia hela ya vocha, nikajua hapa nitapigwa na kitu kizito

Hata sasa endelea
 
Acha urongo


Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Jamani jamaniii...

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 

karonga
Ko kuombwa vocha kimekuuma??? Basi pole best
Kwahiyo hizo pesa za kwenye picha unazo? Unazimiliki au unataka kunirusha roho?

Maana umeongea kwa uchungu sana
 
Ungetulia tu na bibi eti hawa vijana watakupa stress za uzeeni

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Nimefurahi kupata ushauri huu kutoka kwa Binti mdogo wa umri wako, hii inaonesha Wazee wenu tumefanya kazi kubwa ya malezi 🤗

Kwanza kwa umri wetu Wazee tunajiepusha na mengi, maana si unajua sisi Wazee jogoo anawika kwa mwaka mara 3 kama Jogoo wa Enzi ya Petro wa Yesu 😜
 
Kwahiyo bado mnatambaa na ukali?
 
Endelea bana


Ikawaje?
 
nimechekaa,haya malizia basi shouga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…