mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,374
- 3,887
Kusema ule ukweli kuachana na mtu ni kazi sana maana itakuchukua muda kumpata mwingine ambae atakupa Furaha na amani
Mwaka 2021 niliachwa muacho safi kabisa yule jamaa aliniandikia sms moja tu
“ Ukikua utajua namna ya kuzungumza na mwanaume sasa hivi utoto unakusumbua”
Ni katika mahusiano niliyoyaamini sana maana kijana alikuwa mkubwa kwangu then alikuwa ananinichukulia kama mdogo wake…. Nilimbembeleza wiki nzima anisamehe ila hakukubali… nikajiapiza tarehe 2/2/2021 ndio mwisho wa kumbembeleza kuomba asiniache kweli jamaa akakataa kunisamehe na Mimi tangu hapo nikafuta kila kitu chake sikumtafuta mpk Leo hii
Nashukuru huwa sibaki single nakaa muda mfupi sana naingia mahusiano mapya… basi ndio katika huku na huku nikakutana na mpzn wangu wa sasa imenichukua mwaka na miezi mpk kumpenda na kuwa huru kwake
Niseme ni moja ya mahusiano ambayo nimekuwa huru Sanaa… sina uoga wa kuzungumza pale anaponikwaza nasema kile nachojisikia kusema… amekuwa kama rafiki kwangu simfichi chochote kunihusu
Niwaambie tu kuliko kuachana ni bora kutengeneza mkaanza upya ni ngumu kumpata mtu wa kuanzA mahusiano mpk mkazoeana
Nipo na stresss jamani
Mwaka 2021 niliachwa muacho safi kabisa yule jamaa aliniandikia sms moja tu
“ Ukikua utajua namna ya kuzungumza na mwanaume sasa hivi utoto unakusumbua”
Ni katika mahusiano niliyoyaamini sana maana kijana alikuwa mkubwa kwangu then alikuwa ananinichukulia kama mdogo wake…. Nilimbembeleza wiki nzima anisamehe ila hakukubali… nikajiapiza tarehe 2/2/2021 ndio mwisho wa kumbembeleza kuomba asiniache kweli jamaa akakataa kunisamehe na Mimi tangu hapo nikafuta kila kitu chake sikumtafuta mpk Leo hii
Nashukuru huwa sibaki single nakaa muda mfupi sana naingia mahusiano mapya… basi ndio katika huku na huku nikakutana na mpzn wangu wa sasa imenichukua mwaka na miezi mpk kumpenda na kuwa huru kwake
Niseme ni moja ya mahusiano ambayo nimekuwa huru Sanaa… sina uoga wa kuzungumza pale anaponikwaza nasema kile nachojisikia kusema… amekuwa kama rafiki kwangu simfichi chochote kunihusu
Niwaambie tu kuliko kuachana ni bora kutengeneza mkaanza upya ni ngumu kumpata mtu wa kuanzA mahusiano mpk mkazoeana
Nipo na stresss jamani