Mahojiano ya pinda na jk juu ya jairo

KJ:Nasikia malawi wameanza kuzichapa vip uko niludi au nsirudi?
Ndapi:Aaaaa we rudi tuu watz si unajua ni wa hapa hapa tuu nshamwambia Mamwe ajipange na watu wake.Si unajua ukiona mwenzio anantolewa inabidi utie maji
 
haha haha haaaaaaa raha sana.......nawaonea huruma ambao wanategemea pc kuji jf bt hakuna umeme.
 
kj: Nahawa komedi vipi wapo? Maana ha ha ha hawa jamaa huwa napenda sana kuwaangalia nikiwa ikulu palendapi: Wapo mkuu tena siku hizi wanakitangaza vizuri chama na serikali yakokj: Nafikiri kuwapa ukuu wa wilayandapi: Tena hizi mpyakj: Na hawa wenzetu walioanzisha ccj wanasemaje, yule tuliyemfukuza uspika?ndapi: Yupo hana jipyakj: Naona wema sepetu naye anaita siku hizi, unaonaje tumpe ubunge wa kuteuliwa?ndapi: Huyu anafaa mkuukj: Na kibonde naye aliniomba tumpe ukuu wa wilaya maana katutangaza vizuri sana kwenye jahazi pamoja na magamba yetu maana sasa mimi nilimwambia achukue akili za mbayuwayu achamnganye na zake
mh mbavu sina jamani
 
jk;Vip kijana Nape atafanikiwa kuwashawishi vijana wakipende chama???pinda;kiasi anajitahidi!!!tumpe muda
 
JK. Kabla sijakata una lingine za ziada?
Pinda: Mkuu ukirudi inabidi tuwe serious na hili tatizo la umeme, maana wananchi wanazidi kuwa mbogo.
JK: Wanasema?
Pinda: Vijana wangu walikuwa mitaani jana na juzi, mazungumzo ya watu ni umeme tuu. Wamecheki na huko Jamiiforums, threads ni za umeme tuu.
JK: Waambie wawe patient. Rais atayekuja after me atatatua tatizo la umeme. In the meantime, I will make the most of my time abroad.
Pinda: Pamoja Mkuu.
 
Back
Top Bottom