Mahitaji ya mashine ya kukoboa mpunga na kugrade

Mahitaji ya mashine ya kukoboa mpunga na kugrade

faabroz

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
286
Reaction score
69
Habari ya humu wana jamii


Nahitaji mashine ya kusafisha mpunga na kuugradi madaraja maanne

Supplier au dealer awe na maelezo ya kutosha na kukubali kufunga na kutoa maelekezo namna ya kutumia natanguliza shukrani sana


Simu 0782 815994
 
Back
Top Bottom