realpatriot
Senior Member
- May 28, 2009
- 116
- 76
wadau nina mahindi tani 30 zipo manyoni singida nina uwezo wa kusafirisha mahali popote Tanzania au hata nje ya Tanzania iwapo kama tutakubaliana bei.pia kama unajua mahali ambapo naweza uza kwa bei nzuri utakua msaada tosha