Mahindi mahindi mahindi

Aloycepriva

Senior Member
Joined
Jan 5, 2017
Posts
196
Reaction score
75
Habari wadau,

Kwa wale wapenzi wa mahindi mabichi ndio mda wake, kama kuna mtu anachoma mahindi karibu tuongee kwa bei poa zaidi.

Nipo Kibamba 0713 765 667
 
Weka kila kitu wazi mkuu.

Hindi moja shambani bei gani na ukimpelekea mteja pia bei gani.

Yapo heka ngapi na unauza kuanzia mahindi mangapi au hata moja unauza...?
 
Bei ya Jumla ni 300
Moja kama moja ni 500
Yapo mahind 250.!
 
Yes kama tuta kubaliana katika kias anacho hitaji
 
Mkuu mbona haupo serious? Mahindi 250 kweli? Yaani wewe ni mkulima mvivu sanaa. Sio kwa uvivu huo daah
Hamna huwez niambia mviv bhal ndio nimeanza so kama unavyo juwa biashara ck ya Kwanza lazm upate changamoto so kwa next year nitakuwa stage ya juu na kuweza kupata mwanga Zaid juu ya soko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…