Mahindi bora yanapatikana Mbeya mjini

Mzawa jr

Member
Joined
Oct 16, 2017
Posts
20
Reaction score
14
Pata mahindi bora ndani ya wilaya ya Mbeya mjini, Ilolo sokoni (Isanga).

Gunia tsh. 48,000/=
Debe tsh. 8,000/=

Mawasiliano; +255 763 253 522


 
Mtzmweusi

Inategemeana sehemu uliyopo kiongozi, na hiyo bidhaa kama ile ya zamani au mapya amabayo yametoka kuvunwa. Mahindi tuliyonayo ni ya zamani ambayo yanapendwa na familia nyingi kwa sababu ata unga wake hausinyai au kujifyonza pindi familia ikiutumia kupika ugali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…