secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,839
- 8,652
Upo deep sea.....Hapo maharage anaitwa sarunge ni jamii ya haya mekundu marefu lkn ywnyewe yana rangi ya khaki/kijivu. Haya ni matamu sana sema yana kiasi kidogo cha sukar na pia yanastawi sehem za mvua na baridi ni indigenous kwa uko mbozi. Haya hayajachakachuliwa mbegu kabisa sawa n.a. maharage fulan ya kupikia kiburu mfupi meupe yanaitwa nkanamna.....kichaga
Nkanamna ikorofindo kinasubu,soko siise roskoko,maaraky ya nshano[emoji23][emoji23]Hapo maharage anaitwa sarunge ni jamii ya haya mekundu marefu lkn ywnyewe yana rangi ya khaki/kijivu. Haya ni matamu sana sema yana kiasi kidogo cha sukar na pia yanastawi sehem za mvua na baridi ni indigenous kwa uko mbozi. Haya hayajachakachuliwa mbegu kabisa sawa n.a. maharage fulan ya kupikia kiburu mfupi meupe yanaitwa nkanamna.....kichaga
ShukranWee jiulize swali moja tuu umewahi kuona GMO yoyote ikiwa adimu na bei ya juu...?
Sifa za kibiashara ya mazao ya GMO ni wingi na size ikiwa na maana wingi - vinasaba ya uzalishaji vimesetiwa hivyo au muda wa kukomaa umesetiwa ,pili saizi ya kitu kwa wanyama, matunda ,na hata mimea.Na pia inategeme ni kwa kiwango Gani vimesetiwa. Mbali na hivyo tukumbuke kuna selective breeding katika uzalishaji pia.
Siyo GMO kwani unaweza vuna ukatunza mbegu ukapanda tena na tena.GMO ukivuna mwaka unaofuata lazima ukanunue tena mbeguWakuu kuna hili jambo linanitatiza sana jee ni kweli kwamba maharage ya njano ni GMO?
Maana nimesikia watu wakisema hivyo na kudai haya maharage hayakuwapo kabla
Wengine wanadai yanaleta sukari na cancer
Jee ni kweli kuwa maharage ya njano ni GMO?View attachment 1228664
Google mkuuSorry wakuu GMO ni nini??
Ni yale marefu mekundu? Ama mafupi? Ama yale yenye umbo kama njugu mawe lkn mekundu sana?
Nyekundu yote ni mazuri lkn haya maneno mekundu yako kama njugu mawe yana madini na protein nyingi zaidi. Ni adimu kidogo kupatikana
genetically modified foodsSorry wakuu GMO ni nini??
Sorry wakuu GMO ni nini??
Maharage ya Njano katika miaka ya 1970s, na 1980s yalikuwepo na nakumbuka yakiwekwa na mawese au nazi ni balaa. Sema labda baada ya kuzuka maharage ya Mbeya, hayo maharage ya njano yalikosa wapenzi na yalipotea sokoni. Na kitu kingine yalikuwa yanachelewa sana kuiva, hivyo kuongeza gharama za upishi. Labda hiyo, inaweza kuwa ni jambo jipya na linahitaji maelezo ya kitaalamu ili kulithibitishaWakuu kuna hili jambo linanitatiza sana jee ni kweli kwamba maharage ya njano ni GMO?
Maana nimesikia watu wakisema hivyo na kudai haya maharage hayakuwapo kabla
Wengine wanadai yanaleta sukari na cancer
Jee ni kweli kuwa maharage ya njano ni GMO?View attachment 1228664
Asante sanaMaharage ya Njano katika miaka ya 1970s, na 1980s yalikuwepo na nakumbuka yakiwekwa na mawese au nazi ni balaa. Sema labda baada ya kuzuka maharage ya Mbeya, hayo maharage ya njano yalikosa wapenzi na yalipotea sokoni. Na kitu kingine yalikuwa yanachelewa sana kuiva, hivyo kuongeza gharama za upishi. Labda hiyo, inaweza kuwa ni jambo jipya na linahitaji maelezo ya kitaalamu ili kulithibitisha
Google mkuu
genetically modified foods