Mahangaiko yameanza

Jambo TV meza waliyotingisha Ina vinywaji vya gharama kubwa sana.
 
^Nimeambiwa hapa kwamba unajua kwenye protocol za Jeshi

Captain anaongoza kikosi kizima so huyu kwenye kikosi chake tu akiamuru kiwake kinawaka mazima maana akiita parade wanakuja wote mpaka walioko nje ya Dar.

Halafu Mwanajesh mmoja ni sawa na police 3-5.^

Haya mambo ndo nimejua leo, yajayo yanaburudisha😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…