Mahangaiko yameanza

kwana shida iko wapi madogo

binafsi ukiniuliza jambo lolote nitakujibu 'tukutane kwenye vema'
 
Fikiria huyu mwenye hiki chombo cha habari atafanywa nini na wananchi siku haya mashetani yakitolewa madarakani
 
Wasichojua ni kuwa Wananchi tumechoshwa na Ufisadi wao na tabia zao za kututeka, kutuua na kutufungulia kesi za uongo.📌🔨
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…