Mahakimu Tanzania wanatia aibu

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,206
18,548
Sijawahi kuwaza kuwa MTU anaye itwa hakimu, aliye APA kwa kiapo kikuu cha kuwa mwaminifu anaweza kupewa rushwa au kutoa hukumu isiyo sahihi kwa kuogopa aliyemteua.

Kwanza kwanini wana kula viapo wakati hawawezi kusimamia viapo?

Je tuseme wanaapa kwa sababu ya njaa zao? Mahakimu wa Tanzania Mungu anawaona.

Heshima yenu imeshuka katika jamii kwa sababu ya kujiingiza kwenye siasa?

Majaji nao hakuna kitu, Lubuva amewaawakilisha vizuri kwa kuzeeka vibaya na kuacha historia ambayo mwenyewe itamhukumu hadi kufa kwake.

Naibu spika pamoja na kuwa moja ya watu muhimu katika sheria za nchi hii lakini wote tumeshuhudia akifanya vituko vya ajabu vinavyo tia DOA kwenye taaluma yake na maadili ya kiapo na imani yake.

Kesi ya mbunge wa arusha na mbunge wa Kilombero ni mfano mzuri unao onyesha kuwa Tanzania hatuna mahakama wala mahakimu na wala majaji , mnatumalizia kodi zetu bure.

Mahakama ni muhimili usioingiliwa na MTU, muhimili unaojitegemea, kwanini njaa ziwasukume kwenda kinyume na viapo vyenu. Mnaitia aibu fani yetu nzuri.

Kama mambo madogo kama haya mnaendeshwa kama gari bovu , je makubwa yanayowahusu wakubwa mtayaweza.

Mbona wenzenu nchi nyingine wanawahukumu hadi marais wao na wakipatikana na hatia wanapewa hukumu inayostahili.?

kwanini mahakama ziwe sehemu ya wavunjaji wa katiba?. Wapi tutashtaki wale wanaovunja katiba?
 
Sijawahi kuwaza kuwa MTU anaye itwa hakimu, aliye APA kwa kiapo kikuu cha kuwa mwaminifu anaweza kupewa rushwa au kutoa hukumu isiyo sahihi kwa kuogopa aliyemteua.

Kwanza kwanini wana kula viapo wakati hawawezi kusimamia viapo?

Je tuseme wanaapa kwa sababu ya njaa zao? Mahakimu wa Tanzania Mungu anawaona.

Heshima yenu imeshuka katika jamii kwa sababu ya kujiingiza kwenye siasa?

Majaji nao hakuna kitu, Lubuva amewaawakilisha vizuri kwa kuzeeka vibaya na kuacha historia ambayo mwenyewe itamhukumu hadi kufa kwake.

Naibu spika pamoja na kuwa moja ya watu muhimu katika sheria za nchi hii lakini wote tumeshuhudia akifanya vituko vya ajabu vinavyo tia DOA kwenye taaluma yake na maadili ya kiapo na imani yake.

Kesi ya mbunge wa arusha na mbunge wa ifakara ni mfano mzuri unao onyesha kuwa Tanzania hatuna mahakama wala mahakimu na wala majaji , mnatumalizia kodi zetu bure.

Mahakama ni muhimili usioingiliwa na MTU, muhimili unaojitegemea, kwanini njaa ziwasukume kwenda kinyume na viapo vyenu. Mnaitia aibu fani yetu nzuri.

Kama mambo madogo kama haya mnaendeshwa kama gari bovu , je makubwa yanayowahusu wakubwa mtayaweza.

Mbona wenzenu nchi nyingine wanawahukumu hadi marais wao na wakipatikana na hatia wanapewa hukumu inayostahili.?

kwanini mahakama ziwe sehemu ya wavunjaji wa katiba?. Wapi tutashtaki wale wanaovunja katiba?


Kwa sababu tu Wahalifu ambao wametokea kuwa wana chadema wamehukumiwa, basi Mahakimu wetu hawajui kazi?
 
malalamiko yako ni muendelezo wa kutokujua jinsi nchi inavyoendeshwa, siasa imeharibu uwezo wako wa kufikiri
 
Sina imani na sikuanza leo tokea waweke masheh wa wa zanzibar bila hata dhamana nawafahamu siku nyingi hawa mahakimu na majudge wengi ni watu wa kufuata maagizo
wana APA na kuingia ofisini kwa majoho kama kondoo kumbe ndani ni fisi ..
 
Nafikiri unatamani hata hemshima tuwapayo ya mheshimiwa tusiwape tena ili twende twende tu iwapendezavyo?. Anyway unahoja, mhm wajitafakari.
 
Ndio maana mnatafutwa mtiwe adabu. Wapi ulifanya utafiti na kugundua kila hakimu anakula rushwa na kupindisha haki? Umekuwa too general.
 
Nafikiri unatamani hata hemshima tuwapayo ya mheshimiwa tusiwape tena ili twende twende tu iwapendezavyo?. Anyway unahoja, mhm wajitafakari.
muhimili siyo, umevunjika kabisa, unashikiliwa na muhimili mwingine. Ukitaka ukubalike na muhimili wa mahakama lazima kwanza uelewane na muhimili ulijichimbia zaidi ...
 
Hivi kuna taasisi yoyote iliyochunguza tuhuma za KUB juu ya rushwa ya million 10 ili kupitisha muswada!?
Ina maana Mh. Mbowe alisema kweli ...naje, kama ilikuwa uongo ni sahihi kuachia uongo huu kutamalaki!?
Kwa mwenendo huu kuna anayeweza kujua nchii hii itakuwa wapi miaka kumi ijayo!
 
Yaani wale wabunge wa CCM walioshikwa 'redhanded' na rushwa waliachiwa huru.....

Ila huyu Juakali kwa kuwa ni Mbunge wa upinzani hata kama kosa lake la kufanya fujo ni dogo ukilinganisha na lile la wabunge wa CCM waliokamatwa na rushwa.

Mheshimiwa Hakimu anatoa hukumu ya kwenda jela miezi 6 bila faini kwa Juakali wakati wale wabunge wa CCM waliokamatwa na kidhibiti cha rushwa waliachiwa huru!

Hii TZ inakoelekea sasa si kuzuri hata kidogo.....

Kuna kila dalili huyu Mtukufu wetu ana dhamira ya dhati kabisa ya kuirejesha hii nchi kwenye mfumo wa Chama kimoja......

Hata ukifuatilia hotuba zake za majukwaani huoni kama zina dalili yoyote ya unyenyekevu wa kuona hao anaowakashifu majukwaani kuwa ni wapiga 'katerero' ndiyo atakaowaendea kwenda kuwaomba kura mwaka 2020!
 
Yaani wale wabunge wa CCM walioshikwa 'redhanded' na rushwa waliachiwa huru.....

Ila huyu Juakali kwa kuwa ni Mbunge wa upinzani hata kama kosa lake la kufanya fujo ni dogo ukilinganisha na lile la wabunge wa CCM waliokamatwa na rushwa.

Mheshimiwa Hakimu anatoa hukumu ya kwenda jela miezi 6 bila faini kwa Juakali wakati wale wabunge wa CCM waliokamatwa na kidhibiti cha rushwa waliachiwa huru!

Hii TZ inakoelekea sasa si kuzuri hata kidogo.....

Kuna kila dalili huyu Mtukufu wetu ana dhamira ya dhati kabisa ya kuirejesha hii nchi kwenye mfumo wa Chama kimoja......

Hata ukifuatilia hotuba zake za majukwaani huoni kama zina dalili yoyote ya unyenyekevu wa kuona hao anaowakashifu majukwaani kuwa ni wapiga 'katerero' ndiyo atakaowaendea kwenda kuwaomba kura mwaka 2020!
kwa sasa mazingira yapo wazi kabisa kwamba wao ni sehemu ya siasa za nchii hii,
 
Back
Top Bottom