Mahakama na vyama vya siasa.

Mahakama na vyama vya siasa.

andrew tezie

Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
13
Reaction score
2
Ifike mahala sasa mahakama ziache kushughulika na migogoro ya vyama vya siasa.Vyama vya siasa vina miongozo au katiba zao,sasa inapotokea kutokuelewana kati ya mwanachama na uongozi wa chama basi matatizo hayo ni bora wakayamaliza wenyewe katika vikao vyao kuliko mahakama kupokea kero hizo, ili kupunguza mlundikano wa kesi mahakamani na kudumisha nidhamu ndani ya vyama.Sijui wenzangu mnalipokeaje hilo?
 
Back
Top Bottom