PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Hapo kesi ya kujibu ni ipi? wewe unajua maneno ya Kisheria?
Mahakama zetu haziwezi kutenda haki hata siku moja linapojiri swala la kisiasa,yupo Jaji mmoja mstaafu(simkumbuki jina) alishawahi kukiri hadharani kwamba katika kipindi cha utumishi wake asichokisahau ni pale alipolazimishwa kutoa hukumu.
Nimesoma Heading nikajua kuwa unaripoti kuwa Mahakama imetoa Ruling hiyo kuwa kuna kesi ya kujibu. Anyway, pengine hujui taratibu za kimahakama.Kesi ya kupinga ubunge wa godbless lema inaendelea kuguruma mahakama kuu kanda ya arusha.baada ya mahakama kutupilia mbali pingamizi za awali zilizo wekwa na mawakili wa utetezi.mwendesha mashtaka
alisema mawakili wa utetezi walijingiza kwenye mtego kwa kuacha kulete pingamizi kuhusu makosa ya kisheria dhidi ya hati ya mashtaka,na kujikita kataka kutafsiri na kurekebisha madai yaliyomo kwenye hati ya mashaka,kazi ambayo haiwezi kufanywa na mahakama wala utetezi.na kusema mahakama haiwezi kushughulika na ukweli wa maneno yaliyo tamkwa,bali mahakama itaangalia iwapo manena hayo yalitamkwa na iwao yanastahili kutamkwa.
CHANZO:GAZETI LA MWANANCHI
Mkuu kama hauna cha kupost usiwe unakimbilia kuleta mada kabla ya kuitafakari!hapo kesi ya kujibu iko wapi?
siko tayari kupaka rangi ujinga,kama navyo taka wewe.
heading yako na content vinatofauti! ndio maana unaulizwa kesi ya kujibu ipo wapi katika maelezo yako?
Kesi ya kupinga ubunge wa godbless lema inaendelea kuguruma mahakama kuu kanda ya arusha.baada ya mahakama kutupilia mbali pingamizi za awali zilizo wekwa na mawakili wa utetezi.mwendesha mashtaka
alisema mawakili wa utetezi walijingiza kwenye mtego kwa kuacha kulete pingamizi kuhusu makosa ya kisheria dhidi ya hati ya mashtaka,na kujikita kataka kutafsiri na kurekebisha madai yaliyomo kwenye hati ya mashaka,kazi ambayo haiwezi kufanywa na mahakama wala utetezi.na kusema mahakama haiwezi kushughulika na ukweli wa maneno yaliyo tamkwa,bali mahakama itaangalia iwapo manena hayo yalitamkwa na iwao yanastahili kutamkwa.
CHANZO:GAZETI LA MWANANCHI
ndugu yangu nimeweka chanzo tusiwe wavivu kiasi hicho.
Kesi ya kupinga ubunge wa godbless lema inaendelea kuguruma mahakama kuu kanda ya arusha.baada ya mahakama kutupilia mbali pingamizi za awali zilizo wekwa na mawakili wa utetezi.mwendesha mashtaka
alisema mawakili wa utetezi walijingiza kwenye mtego kwa kuacha kulete pingamizi kuhusu makosa ya kisheria dhidi ya hati ya mashtaka,na kujikita kataka kutafsiri na kurekebisha madai yaliyomo kwenye hati ya mashaka,kazi ambayo haiwezi kufanywa na mahakama wala utetezi.na kusema mahakama haiwezi kushughulika na ukweli wa maneno yaliyo tamkwa,bali mahakama itaangalia iwapo manena hayo yalitamkwa na iwao yanastahili kutamkwa.
CHANZO:GAZETI LA MWANANCHI
siko tayari kupaka rangi ujinga,kama navyo taka wewe.
siko tayari kupaka rangi ujinga,kama navyo taka wewe.
Kesi ya kupinga ubunge wa godbless lema inaendelea kuguruma mahakama kuu kanda ya arusha.baada ya mahakama kutupilia mbali pingamizi za awali zilizo wekwa na mawakili wa utetezi.mwendesha mashtaka
alisema mawakili wa utetezi walijingiza kwenye mtego kwa kuacha kulete pingamizi kuhusu makosa ya kisheria dhidi ya hati ya mashtaka,na kujikita kataka kutafsiri na kurekebisha madai yaliyomo kwenye hati ya mashaka,kazi ambayo haiwezi kufanywa na mahakama wala utetezi.na kusema mahakama haiwezi kushughulika na ukweli wa maneno yaliyo tamkwa,bali mahakama itaangalia iwapo manena hayo yalitamkwa na iwao yanastahili kutamkwa.
CHANZO:GAZETI LA MWANANCHI