mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 81,933
- 108,324
Wasomali kuna watu naona hawawaelewi vzuri wasomali kwa Money laundry wako vzuri sana
Hela chafu wanayoipata wanajua wapi pa kuipeleka na kuinvest au kuwapa wasomali wenzao walipo Sehemu fulani wanampa na anaifanyia kitu fulani.....
Syo mitanzania utakufa lijitu linakwiba mihela anakuwa na mabilion Hata kuwapa watu wengine awekeze hataki wasomali wao kwa Syo wachoyo ........
Hata yule msomali aliyekuwa anamikiki paradise alikimbiaaa somali kitambo akajaga Bongo na hela zake akawekeza na bado somali alikuwa n'a mtandao fulani hko
Mtanzania sahv unaweza ukawa n'a mipango mizuri ya kufanya na unahitaji cash lakini Nenda bank uone Nenda kakope uone bullshyt huko ukatako kutano nazoooo utakimbiaaa
Wasomali ni namba nyingine Syo kama Sisi Acha Sisi tuendeleee kubaniana tu
Ova
Hela chafu wanayoipata wanajua wapi pa kuipeleka na kuinvest au kuwapa wasomali wenzao walipo Sehemu fulani wanampa na anaifanyia kitu fulani.....
Syo mitanzania utakufa lijitu linakwiba mihela anakuwa na mabilion Hata kuwapa watu wengine awekeze hataki wasomali wao kwa Syo wachoyo ........
Hata yule msomali aliyekuwa anamikiki paradise alikimbiaaa somali kitambo akajaga Bongo na hela zake akawekeza na bado somali alikuwa n'a mtandao fulani hko
Mtanzania sahv unaweza ukawa n'a mipango mizuri ya kufanya na unahitaji cash lakini Nenda bank uone Nenda kakope uone bullshyt huko ukatako kutano nazoooo utakimbiaaa
Wasomali ni namba nyingine Syo kama Sisi Acha Sisi tuendeleee kubaniana tu
Ova