Mahaba ya Pwani yananichanganya

Huyo mwanamke ana uzoefu wa wanaume wengi, aachane naye. Akiendelea anaweza kuwa ****** kwani akizoea kutiwe dole mwisho atapenda mboo. Aache kabisa kupenda kutiwa dole sehemu hiyo ya haja kubwa.

Nina mdogo wangu amepata post ya kazi mkoani Tanga baada ya safari ndefu ya kusaka elimu. Ni mwaka na miezi sasa imepita tangu aende kuanza maisha hayo ya kujitegemea.

Hivi majuzi alinitembelea kwangu kwa mapumziko, na katika kupiga piga stori alinipa story ya issue inayomsumbua.

Ana mpenzi kampata huko Tanga, anampenda saana!! Ila tu tatizo la huyu binti ni kwamba, wanapokuwa kwenye majambozi kunako bed, huyu binti hawezi kuenjoy bila kumsokomeza dole la kati dogo.

Hapo namaanisha kuwa, yule binti huwa anamuingizia dole sehemu za haja kubwa huyu mdogo wangu wakati wanapofanya mapenzi na amejaribu kumuonya lakini inashindikana kwani binti akinogewa tu hujikuta kafanya hivyo. Binti anadai ndivyo alivyofunzwa katika maswala ya ndoa ili kumstarehesha mwanaume na ameshazoea coz wanaume wote aliowahi kumeet nao amekuwa akifanya hivyo na hawalalamiki kama yeye na anamshangaa sana.

Mimi binafsi nilikuwa najua wanaofanywa hivi ni mashoga but hii ni mupya sana kwangu.

Hebu tumshauri na tuzungumzie aina hii ya mapenzi niliyoisikia kwa mara ya kwanza, inakubalika kweli?

Thanx sana[/QUOTE]
 
Nakusubiri sweetheart
 
Hizi raha, Amakweli kua uyaone, tembea uyaone na jaribu unase.
 


Hayaaa!! Huanza hivyooo...Ulimi,..Kidole kidogo,.. kidole cha kati,..Vidole viwili,........MWISHO!!!!!!!...............
 
Hayaaa!! Huanza hivyooo...Ulimi,..Kidole kidogo,.. kidole cha kati,..Vidole viwili,........MWISHO!!!!!!!...............

mwisho atatiwa hata chupa ya bia..anakunjwa angali mbichi huyoo! Nyambaaf!!
 
Mimi sina mchango wowote ila hiyo avata yako tuu. Kama sura ipo hivyo, je kama huko anaposokomezwa kidole mdogo wako pako vipi?

Nyani haoni kundule? Nadhani patakuwa kama avatar yako, au nimekosea?
 

hapa mkuu naona kama unamsingizia dogo wakati mhusika mkuu unoneka ni wewe mwenyewe, hebu ona hapa kwenye red next highlight
 
Mimi sina mchango wowote ila hiyo avata yako tuu. Kama sura ipo hivyo, je kama huko anaposokomezwa kidole mdogo wako pako vipi?

dah mkuu hii avatar inatia kichefuchefu hebu ibadilishe,
 
ameanza na kidole cku akiingiziwa ki2 kikubwa zaid ya kidole hutamwona kuomba ushauri lol
 
mapenzi ni kufurahishana na kama hiyo ndiyo raha yake huwezi kumbadili kirahisi maana alishazoea na pia amefundishwa hivyo

Ukilazimisha na kuamua kumweka ndani atakubali lakini lazima itafika kipindi aende nje kutafuta hizo raha

Kwa hiyo una mawili ya kuamua
1.Jifunza hizo design,yaani ukubaliane naye kwa jinsi anavyotaka na kuendelea na maisha AU
2.Kuachana naye kama unaona hutaweza na hufurahii katika maisha
 
kajaribu uone maneno yake wala haihusiani na ushoga mimi nawashangaa ina maana watu bado hawajajua raha jamani uuuuwiii. poleni
Pole sana. Kwa style hii Tumekwisha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! na Dunia inakwisha.
 
siku za mwanzo wakati unafanya mapenzi na mtu ndio unaajaribu kufanya vitu tofauti ili kujua wapi mpenzi wako panamkuna....
unatest kwa kumgusa hapa na pale,kujua wapi anapenda zaidi...
mtu kama hafurahii atatoa mkono na ataonyesha kukerwa na hapo mahali ulipomgusa,so next time hurudii...
huyo mdogo wako inaelekea anapenda kufanyiwa huu mchezo otherwise angeweza kumuonyesha mpenzi wake kuwa hafurahii either kwa VITENDO au MANENO...
kinachomsumbua ni guilty baadae kama anafanya jambo sahihi,mwambie kama anafurahia then aendelee kama hafurahii AMWAMBIE mpenzi wake aache!
afu i doubt huo ukaribu wenu mpaka kuambizana siri za ndani kama hizi?! au ni wewe mwenyewe mkuu?:twitch::twitch:
 
Mjaribu chacha mura uone mang'ana gasarikire mbane tema mura kwetu hata mwanamke kukata kiuno ni umaraya tu huo chitasema nani kambundisha itakuwa anisamishe ridore uwiiiii!
 
Mjaribu chacha mura uone mang'ana gasarikire mbane tema mura kwetu hata mwanamke kukata kiuno ni umaraya tu huo chitasema nani kambundisha itakuwa anisamishe ridore uwiiiii!

hahahah...:clap2::clap2:
 
Hapa tusidanganyane hata kidogo.... mkuu utaleta habari hapa jamvini baada ya miaka 2 inshallah.... Nakuhakikishia huyo mdogo wako atakuwa bwabwa msipomkataza mapema.... Ataleta mwanamume wa kumuoa yeye, badala ya mwanamke wa kuoa!! Yaani utiwe kidole u-enjoy hiyo imetoka wapi?????:twitch::twitch::twitch:
 
Mimi nachangia kwa kusema maneno machache tu nayo ni 'dunia imefikia ukiongoni'. Wanadamu tujihadhari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…