Magunomics: President urges Tanzania's women to 'set ovaries free', have more babies to boost economy

Unaulizwa swali unaruka ruka tuu, inaonekana huna uwezo wa kujibu wala uelewa wa siasa za dunia hii.

..hili swala ni COMPLEX.

..zipo nchi zinaweza kufaidika kwa kuwa na population kubwa.

..na ziko nchi haziwezi kufaidika kwa kuwa na population kubwa.

..China ambayo Raisi aliizungumzia kwa muda mrefu walikuwa na sera ya " ONE CHILD POLICY." maana yake ni kwamba idadi kubwa au ongezeko na watu lilikuwa likiwaathiri kiuchumi.

..Nchi kama Japan wanalalamika kwamba idadi kubwa ya wazee imekuwa ni mzigo kwa nchi kwasababu vijana waliopo they are not contributing that much kwa serekali ili iweze kuwahudumia wazee.

..Marekani wana population kubwa lakini wana tatizo kama la Wajapani lakini lina mazingira tofauti.

Wamarekani nao hawana idadi ya kutosha ya wachangiaji ktk social security fund na huduma nyingine za kijamii.

..Lakini tatizo la US haliko kwenye population as idadi ya watu bali liko kwenye aina ya ajira ambazo zinazalishwa nchini humu.

..Kwanza, hawana idadi ya kutosha ya waajiriwa wanaochangia kutunisha mfuko wao wa social security.

..Tatizo lingine ni kwamba uchumi wao unazalisha ajira ambazo wakati mwingine wananchi wao hawana ujizi nazo.

.. Halafu kuna ajira ambazo ziko wazi lakini wananchi wao hawazitaki, kwa mfano kazi za mashambani. Na hawazitaki kwasababu hazilipi a living wage.

..Nigeria ina idadi kubwa ya watu lakini vijana wake wanajaribu kila njia kutoroka kwenda Ulaya. Nigeria pia ndiyo yenye uchumi mkubwa Afrika.

..Kwa hoja ya idadi ya watu, faida na hasara zake, ni pana na inategemea mazingira ya nchi husika. Swali ni kama Tz tutafaidika kwa kuwa na idadi kubwa ya watu, au tunatakiwa tupunguze kuzaana?
 
..hili swala ni COMPLEX.

..zipo nchi zinaweza kufaidika kwa kuwa na population kubwa.

..na ziko nchi haziwezi kufaidika kwa kuwa na population kubwa.

..China ambayo Raisi aliizungumzia kwa muda mrefu walikuwa na sera ya " ONE CHILD POLICY." maana yake ni kwamba idadi kubwa au ongezeko na watu lilikuwa likiwaathiri kiuchumi.

..Nchi kama Japan wanalalamika kwamba idadi kubwa ya wazee imekuwa ni mzigo kwa nchi kwasababu vijana waliopo they are not contributing that much kwa serekali ili iweze kuwahudumia wazee.

..Marekani wana population kubwa lakini wana tatizo kama la Wajapani lakini lina mazingira tofauti.

Wamarekani nao hawana idadi ya kutosha ya wachangiaji ktk social security fund na huduma nyingine za kijamii.

..Lakini tatizo la US haliko kwenye population as idadi ya watu bali liko kwenye aina ya ajira ambazo zinazalishwa nchini humu.

..Kwanza, hawana idadi ya kutosha ya waajiriwa wanaochangia kutunisha mfuko wao wa social security.

..Tatizo lingine ni kwamba uchumi wao unazalisha ajira ambazo wakati mwingine wananchi wao hawana ujizi nazo.

.. Halafu kuna ajira ambazo ziko wazi lakini wananchi wao hawazitaki, kwa mfano kazi za mashambani. Na hawazitaki kwasababu hazilipi a living wage.

..Nigeria ina idadi kubwa ya watu lakini vijana wake wanajaribu kila njia kutoroka kwenda Ulaya. Nigeria pia ndiyo yenye uchumi mkubwa Afrika.

..Kwa hoja ya idadi ya watu, faida na hasara zake, ni pana na inategemea mazingira ya nchi husika. Swali ni kama Tz tutafaidika kwa kuwa na idadi kubwa ya watu, au tunatakiwa tupunguze kuzaana?

Kwa maneno mengine ni hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya idadi ya watu kwenye nchi na ukuaji wa uchumi.

Halafu jingine ni kwamba, kuwa tu na uchumi mkubwa haimaanishi moja kwa moja kuwa na ubora wa maisha utaongezeka!

India, mfano, ina uchumi mkubwa sana kushinda Norway, kwa kipimo cha Nominal GDP!

Lakini kweli unaweza kulinganisha ubora wa maisha wa nchi hizo mbili?

GDP per capita na GNI per capita za hizo nchi mbili hazilinganishiki kabisa!

Norway imeiacha mbali mno India.

So ukuaji wa uchumi ile uwe na maana ni lazima uendane na ukuaji wa ubora na kiwango cha maisha.
 
The aim is to boost economy. Why copy Nigeria with 200 million people and not countries like South Korea with just 51 million people which is less than the entire population of Tanzania?
Japan with a population of not more than 200m people is richer than the entire African continent of more than 1.2 b people.
 
Sasa hivi tu kwa idadi hii ya watu kuwapa wanafunzi mikopo ya vyuo ni shida sasa tukiwa mara mbili ya hapa nani atasoma.
This is very silly to say the least.
 
..China ambayo Raisi aliizungumzia kwa muda mrefu walikuwa na sera ya " ONE CHILD POLICY." maana yake ni kwamba idadi kubwa au ongezeko na watu lilikuwa likiwaathiri kiuchumi.
Walifanya makosa kuweka hiyo sheria ambayo imesababisha male to female ratio kuwa kubwa na kuharibu uwiano wa kiasili (wanawake kuwa wengi kuliko wanaume), sasa hivi wamejifunza na wameondoa sheria hiyo.
..Nchi kama Japan wanalalamika kwamba idadi kubwa ya wazee imekuwa ni mzigo kwa nchi kwasababu vijana waliopo they are not contributing that much kwa serekali ili iweze kuwahudumia wazee..
Sababu ya vijana kutochangia ni kwa kuwa idadi yao ni ndogo kulinganisha na wazee. Wajapani kipindi cha nyuma wamekuwa hawazaliani na sasa kuna nyumba milioni 20 za wazee zilizoachwa wazi baadaya ya Kufa au kwenda kwenye nyumba za wazee na Serikali ya Japan inafanya mpango wa kuzigawa nyumba hizo (tatizo la kutokuzaliana hilo).
..Marekani wana population kubwa lakini wana tatizo kama la Wajapani lakini lina mazingira tofauti.

Wamarekani nao hawana idadi ya kutosha ya wachangiaji ktk social security fund na huduma nyingine za kijamii.

..Lakini tatizo la US haliko kwenye population as idadi ya watu bali liko kwenye aina ya ajira ambazo zinazalishwa nchini humu.

..Kwanza, hawana idadi ya kutosha ya waajiriwa wanaochangia kutunisha mfuko wao wa social security.

..Tatizo lingine ni kwamba uchumi wao unazalisha ajira ambazo wakati mwingine wananchi wao hawana ujizi nazo.

Halafu kuna ajira ambazo ziko wazi lakini wananchi wao hawazitaki, kwa mfano kazi za mashambani. Na hawazitaki kwasababu hazilipi a living wage.

Marekani hakuna tatizo la upungufu wa general population bali kuna tatizo la kupungua idadi ya wazungu. Pesa kwenye mifuko ya hifadhi inakusanywa vizuri tuu ila tatizo ni kuwa pesa hizo zinaenda sehemu zisizokusudiwa, mfano tax cut kwa matajiri.

Nakumbuka wakati wa Bush, John Kerry alisema Bush alitoa tax cut ya dola trillioni tatu, mbili kati ya hizo zilikwenda kwa matajiri 1% na trilioni moja iliyobaki ikagawiwa kwa watu milioni 300 ($300 -$600). Cha kushangaza uchumi ulizidi kudidimia na kusababisha recession ambayo ilichota pesa nyingine zaidi kwaajili ya bail out.

..Nigeria ina idadi kubwa ya watu lakini vijana wake wanajaribu kila njia kutoroka kwenda Ulaya. Nigeria pia ndiyo yenye uchumi mkubwa Afrika.

..Kwa hoja ya idadi ya watu, faida na hasara zake, ni pana na inategemea mazingira ya nchi husika. Swali ni kama Tz tutafaidika kwa kuwa na idadi kubwa ya watu, au tunatakiwa tupunguze kuzaana?
Ni kweli maendeleo kutokana na idadi ya watu inategemeana na mazingira ila tukiweka kila kitu sawa, idadi kubwa ya watu inaweza kuchochea maendeleo haraka zaidi kama mikakati mizuri itawekwa.
 
Wewe umewaona wawili watatu ..mimi Kuna watu nawa jua tangu wa malize chuo huu ni mwaka wa 5 hata kazi hawana. ....

Halafu mimi naongelea Majority ya watu waliopo Katika jamii ya watanzania bado Kuna idadi ndogo ya walio elimika uki compare na wasio elimika '' pia hata hao walio elimika pia bado wameshindwa Kulisaidia taifa kutatua changamoto zinazo kabili watu wake - Katika dunia ya sasa ili uweze kupiga hatua ya maendeleo inapaswa kuwa inauza technology na taifa liwe linauza bidhaa mbali mbali ambazo Zina chakatwa na viwanda vya ndani kuliko kununua - Je taifa limeshafikia hatua hiyo? Kama bado halafu bado tunaona taifa lina idadi kubwa ya masikini Utasemaje kuwa Elimu inayotolewa imeweza kuta Tua changamoto zilizopo katika jamii..?
Imefanikiwa ndio,au unamaanisha kufanikiwa kiaje???namuona bwana mdogo kamaliza chuo na leo anaajira yake,ana gari ya kutembelea na kajenga kajumba kake saaafi!maisha yake yamebadilika!
 
Japan with a population of not more than 200m people is richer than the entire African continent of more than 1.2 b people.

Which goes to show you that there is no direct relationship between a country’s population size and its economic development.
 
Kwa sasa tu tuko watu milioni hamsini, miongoni mwao wahitimu wakiwa hawazidi hata milioni tatu lakini nchi haiwezi kuwaajiri!

Hao watu mtakaowazaa mtawaweka wapi? Au mnataka kutengeneza watu tu wanaotumia bila kuzalisha?
Ajira hazitoki mbinguni, ajira zinabuniwa na watu wenye nia ya kuzalisha mali au kutoa huduma. Tukijenga utamaduni wa kutatua matatizo yetu wenyewe, tutatengeza ajira za kututosha.
 
Japan with a population of not more than 200m people is richer than the entire African continent of more than 1.2 b people.
Which goes to show you that there is no direct relationship between a country’s population size and its economic development.
I kind of disagree with both of you, Japan's economical model or even American one which has been an example for last 60 years will find it hard to repeat it's success in the next 60 years. Amini usiamimi major factor ni upungufu wa watu. Mwezi uliopota (June), Marekani wamejikuta wana watu wengi alio juu ya miaka 38 kiliko wale walio chini ya 38. Ukienda Japan, is same a story, mpaka wizara inayohusika na uzazi ya japan inatowa zawadi ili watu wazaane.

Second factor, ni bei ya uzalisha bidhaa ambayo inaongezeka mara dufu kulingania zenye uchumi unao kuwa. Tramp mwenye anashidwa to bring back manufacturing in America. Ana dance-dance na wachina lakini anajua hawezi kushindana nao in terms of production cost.
 
Nani alikwambia Ireland ina idadi ndogo ya watu?
Uchumi ni demands na demands ni watu. Nakubaliana na hoja yake.
Hamna uchumi unaooendelea bila kuwa na watu wengi wanao tengeneza mahitaji na wanao nunua mahitaji.
Jiwe mwenyewe hajui afanye nini kwasasa baada ya kuboronga nchi ndiyo maana samahani nyingi (anasema ukiwa na watu wengi ndiyo uchumi unaongezeka). Kwa wajinga ndiyo watamuunga mkono. Yeye anajua kabisa amefuta ajira (Za walimu, madaktari n.k) na hawezi kuajiri zaidi ya watu 300 kwa mwaka. Wanaomaliza chuo ni zaidi ya laki mmoja (Hapa najua utasema siyo lazima kuajiriwa na serikali ni kweli). Kutoka na ugumu wa upatikanaji wa ajira kwenye private sector huyu mtu anaamua kujiajiri kwenye umachinga. Unategemea nchi itapiga hatua ikiwa wananchi wako hawana kazi rasmi? Akili yake ndiyo imefikia hapo anawaza ukiwa na watu wengi utapata kodi. Utapata shilingi ngapi wakati wananchi wako vipato hawana yaani maskini? Maisha yanategemeana, ukiwa na watu laki 2 wenye ajira rasmi, hao watu watawajiri wengine, kadiri watu wanavyoongezeka kuwa na ajira rasmi ndivyo pato la nchi linavyozidi kuongezeka
Nchi inaendelea kwa sababu
1. Kutumia rasilimali watu. Ajiri watu kwenye sector mbali mbali kama vile elimu, afya, kilimo, madini, mafuta n.k mfano ukienda shule za vijini walimu hakuna lakini walimu wapo wengi mtaani hawana kazi. Madaktari hivyo hivyo
2. Rasilimali za nchi maziwa, madini, mafuta, mbuga za wanyama n.k hakikisha hivi vitu vinasimamiwa na nchi na si kampuni binafsi. Madini pekee yalitosha kuilisha hii nchi, utasema viongozi wabaya ndiyo CCM hao hao na akili zao fupi
3. Technology na science. Hakikisha umewekeza katika teknolojia na science ili watu wawe na uwezo wa kutengeneza vitu vyao. Mwenye akili ndogo anafikiri China imeendelea kwa sababu ya watu. China amewekeza kwenye science na teknolojia, anatengeneza vitu vyake yeye mfano magari, simu, madawa nk. Waswahili wanasema mkono mtupu haulambwi. Nenda kwenye maduka uone product za china zilivyonyingi. Ukiwa na watu wengi utawauza hao watu?
4. Serikali kufanya miradi mikubwa ya kibiashara. Mfano kukopesha pesa, kuwawezesha wanyabiashara wakubwa kuwekeza ndani na nje ya nchi , Kuwekeza kwenye kilimo n.k katika nchi inayolima mpunga, China imo kwenye 5 bora. Hapa korosho tunawauzia china.
Huyu jiwe mwenye akili ndogo anafikiri kuwa na watu wengi basi nchi inaendelea yaani akili yake inawaza kodi, kodi, kodi hapo ndiyo imeishia. Uzae wakati sasa hivi hakuna ajira, na hakuna huduma za afya nzuri, na hakuna elimu nzuri (Shule hazina madawati, maabara, walimu). Unategemea hao watoto watakuwa wanajilisha? Kama nchi ina watu wachache halafu wengi ni maskini sasa wakiwa wengi si ndiyo itakuwa balaa.
 
I kind of disagree with both of you, Japan's economical model or even American one which has been an example for last 60 years will find it hard to repeat it's success in the next 60 years. Amini usiamimi major factor ni upungufu wa watu. Mwezi uliopota (June), Marekani wamejikuta wana watu wengi alio juu ya miaka 38 kiliko wale walio chini ya 38. Ukienda Japan, is same a story, mpaka wizara inayohusika na uzazi ya japan inatowa zawadi ili watu wazaane.
Second factor, ni bei ya uzalisha bidhaa ambayo inaongezeka mara dufu kulingania zenye uchumi unao kuwa. Tramp mwenye anashidwa to bring back manufacturing in America. Ana dance-dance na wachina lakini anajua hawezi kushindana nao in terms of production cost.
Hao watoto wengi nitakaozaa ni nani atawalisha, watakaa kwa nani, na nani atawasomesha? (Jibu kwa muktadha wa Tanzania). Magu watoto wake wanasoma shule za private halafu mimi nizae watoto wengi wakasome shule za serikali ambazo hazina maabara, madawati na walimu. Kila mtu anahitaji kuwa na maisha bora. Kwanini yeye asizae watoto 200 kama mfano? Halafu watoto 20 wangu wakimaliza shule wawe walinzi, wauza samaki na dereva wa Hiace. Sasa hivi ajira Magu ameshafuta
Japan na Marekani ni nchi zinazojitegemea karibu kwa kila kitu na hazihitaji misaada. Sisi ambao hata kutengeneza mtaala wetu wa elimu hatuwezi unategemea tukiwa wengi halafu na ajira zilivyo ngumu hivi si tutakufa mapema. Huwa nacheka sana ninaposoma focal regional study ya form 2. Fishing industry in Norway
 
Mimi nafikiri kikubwa ni kuimarisha uchumi. Uwezo wa kununua na vya kununua viwepo, haya ya Mimba yatajiseti tu yenyewe. Huku kwetu VIJANA wengi wanafanya kazi ngumu sana zinazkhitaji nguvu, matokeo yake habari za kulala na mwanamke wanaona jero. Matokeo yake wanaume wachache sana ndio wenye uwezo huo. Na wadada ni wengi. Kinakuwa shida. Ongezeni PP (purchasing power) watu tupige MZIGO. Usiku kucha nawaza deal za KUFANYA siku inayofuata kweli nitaamsha??
 
Hao watoto wengi nitakaozaa ni nani atawalisha, watakaa kwa nani, na nani atawasomesha? (Jibu kwa muktadha wa Tanzania). Magu watoto wake wanasoma shule za private halafu mimi nizae watoto wengi wakasome shule za serikali ambazo hazina maabara, madawati na walimu. Kila mtu anahitaji kuwa na maisha bora. Kwanini yeye asizae watoto 200 kama mfano? Halafu watoto 20 wangu wakimaliza shule wawe walinzi, wauza samaki na dereva wa Hiace. Sasa hivi ajira Magu ameshafuta
Japan na Marekani ni nchi zinazojitegemea karibu kwa kila kitu na hazihitaji misaada. Sisi ambao hata kutengeneza mtaala wetu wa elimu hatuwezi unategemea tukiwa wengi halafu na ajira zilivyo ngumu hivi si tutakufa mapema. Huwa nacheka sana ninaposoma focal regional study ya form 2. Fishing industry in Norway
Na ndio maana hujalazimishwa kuwa na watoto wengi au kutokuwa na watoto, ni ushauri tu, mwenye kutaka watoto ni ruksa yake kuwa na wengi kadri atakavyo. Tanzania unayoiona leo, sio Tanzania itakayo kuwa miaka ijayo, dalili za uchumi kukuwa ni nyingi mno, na uwezo wa kujitegemea kama nchi pia utakuwa tofauti na unavyoona leo hii. Ila dalili ya upungufu wa binadamu duniani pia imeshanza kujitokeza, huko mbeleni mwenye watu wengi ndio atakuwa mwenye soko kubwa na uchumi mpana.
 
Na ndio maana hujalazimishwa kuwa na watoto wengi au kutokuwa na watoto, ni ushauri tu, mwenye kutaka watoto ni ruksa yake kuwa na wengi kadri atakavyo. Tanzania unayoiona leo, sio Tanzania itakayo kuwa miaka ijayo, dalili za uchumi kukuwa ni nyingi mno, na uwezo wa kujitegemea kama nchi pia utakuwa tofauti na unavyoona leo hii. Ila dalili ya upungufu wa binadamu duniani pia imeshanza kujitokeza, huko mbeleni mwenye watu wengi ndio atakuwa mwenye soko kubwa na uchumi mpana.
Upungufu wa watu wengi unahitajika kwenye developed countries na siyo kwenye developing countries. Tanzania tupo kama 56milion, sasa ikifika 100milion si itakuwa balaa. Ajira hakuna, huduma za afya hakuna, elimu mbovu n.k.
Wafrika mnapenda sana kujilinganisha na developed countries bila kuangalia wao wamefanyaje mpaka kufika hapo walipo yaani unategemea watu wawe wengi ndiyo kuwe na maendeleo. Kama umeshindwa kuwahudumia watoto 3 usitegemee ukifikisha watoto 7 ndiyo utakuwa una uwezo wa kuwalisha.
*Kitu gani ambacho hakihitajiki kwa sasa kwa watu wachache ambacho kwa watu wengi kinahitajika?
 
Back
Top Bottom