digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 10,164
- 22,093
Habari wapendwa katika bwana?.
Naomba niende moja kwa moja kwenye hoja ya msingi
Binafsi swala LA kushambuliwa kwa ndugu Tundu Lissu hivi karibuni lilinishitua moyo na nililipokea kwa namna tofauti
Ukweli in kwamba mimi si shabiki wala mfuasi wa CHADEMA lakini bado kitendo hiki sikukipokea kwa furaha
Utawara wa mh JPM mimi naukubali sana tu na bado ninaimani na rais wangu lakini kitendo cha kudhoofisha upinzani kwa namna yoyote ile inabidi kilaaniwe na kila mtanzania bila kujari itikadi zetu, kwani kwa nchi za kiafrika bado hatujafikia kwenye hatua ya utawala bora hata %60+
Hivyo kwa dhana hii bado kuna hitaji kubwa sana la kuendelea na hawa watetezi wa wanyonge ambao mimi nawaita THE VOICE OF THE VOICELESS
Kusema ukweli wapinzan wanekua kama kichocheo kwa kuwasemea watu na pengine hata kuikumbusha serikali mahara ambapo inaenda kinyume
Kwa kuhitimisha napenda kuiomba serikali ya mh JPM kuwa na uvumilivu wa kisiasa kwa kila ntanzania ili wote kwa pamoja tuwe kitu kimoja, lakini pia upinzani nao wawe watu wa kujenga hoja zenye tija kwa taifa letu, kwani sioni tija kunyanganyana matofali wakati tunajenga nyumba moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba niende moja kwa moja kwenye hoja ya msingi
Binafsi swala LA kushambuliwa kwa ndugu Tundu Lissu hivi karibuni lilinishitua moyo na nililipokea kwa namna tofauti
Ukweli in kwamba mimi si shabiki wala mfuasi wa CHADEMA lakini bado kitendo hiki sikukipokea kwa furaha
Utawara wa mh JPM mimi naukubali sana tu na bado ninaimani na rais wangu lakini kitendo cha kudhoofisha upinzani kwa namna yoyote ile inabidi kilaaniwe na kila mtanzania bila kujari itikadi zetu, kwani kwa nchi za kiafrika bado hatujafikia kwenye hatua ya utawala bora hata %60+
Hivyo kwa dhana hii bado kuna hitaji kubwa sana la kuendelea na hawa watetezi wa wanyonge ambao mimi nawaita THE VOICE OF THE VOICELESS
Kusema ukweli wapinzan wanekua kama kichocheo kwa kuwasemea watu na pengine hata kuikumbusha serikali mahara ambapo inaenda kinyume
Kwa kuhitimisha napenda kuiomba serikali ya mh JPM kuwa na uvumilivu wa kisiasa kwa kila ntanzania ili wote kwa pamoja tuwe kitu kimoja, lakini pia upinzani nao wawe watu wa kujenga hoja zenye tija kwa taifa letu, kwani sioni tija kunyanganyana matofali wakati tunajenga nyumba moja
Sent using Jamii Forums mobile app