Jaman bila kukaanga maneno,magufuli ni mtendajj,lowassa mzee wa kuanika ngoma juani hana uwajibikaji wowote ni mtu wa kutafuta support ya magenge,magufuli hana magenge,vote for magufuli
yaan binafsi nawashangaa wanaompigia chapuo magufuli wakidhani uraisi kila mtu ana weza,
angebaki kwenya mabarabara yake ya chini ya kiwango nafasi ile kidogo alikuwa anaweza kufanya maigizo yake.
tuwe wakweli tuache unafiki urasi hauwezi magufuli jamani
Ni mjivuni na mwenye kiburi cha kishamba.Bila kusahau kupenda sifa ndio sifa yake kuu.
We unadhani Rais analala na mkewe halafu asubuhi anasema jeshi liende somalia? Labda mgombea wa chama chenu ndo atakuwa na sifa hizo.
Maamuzi ya Rais yanatoka baada ya kujadiliana na baraza la Mawaziri, washauri wa Rais kwenye suala husika na hata usalama wa taifa pale inapobidi.
Hakuna Rais mtaalamu wa kila kitu, hata Magufuli hajui kila kitu ndo maana atakuw ana baraza la mawaziri na washauri wake