Magufuli Njia Nyeupe Ikulu

Magufuli Njia Nyeupe Ikulu

Ubora

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
664
Reaction score
255
Mgombea urais kupitia CCM Dr JPM ameonyesha kila dalili za kuwa rais wetu ajae 2015!Kiongozi huyu amefanya kampeni zake kisayansi,kimikakati na ameonyesha kujua haswa matatizo ya wanainchi wake,kujua wanaitaji nini na kipi kifanyike!Hongera magufuli,tunasubiri tu uapishwe
 
Mgombea urais kupitia CCM Dr JPM ameonyesha kila dalili za kuwa rais wetu ajae 2015!Kiongozi huyu amefanya kampeni zake kisayansi,kimikakati na ameonyesha kujua haswa matatizo ya wanainchi wake,kujua wanaitaji nini na kipi kifanyike!Hongera magufuli,tunasubiri tu uapishwe

akipata 40% ya kura nakupa zawadi
 
John Pombe Joseph Magufuli ni Rais anayesubiri kuapishwa tu.
Hakika huyu ni shujaa mkubwa. Mungu akusimamie Rais wetu wa awamu ya 5
 
Sawa kabisa ni Magufuli kwa mara nyingine
 
Mgombea urais kupitia CCM Dr JPM ameonyesha kila dalili za kuwa rais wetu ajae 2015!Kiongozi huyu amefanya kampeni zake kisayansi,kimikakati na ameonyesha kujua haswa matatizo ya wanainchi wake,kujua wanaitaji nini na kipi kifanyike!Hongera magufuli,tunasubiri tu uapishwe

Shangilia ushindi unakuja!!!
 
mnaobisha hapa bila shaka ndo wale mnaojikusanya kwenye vijiwe vya kahawa na magazeti kupigia kampeni chadema, hamjui ukweli unasemaje
 
Back
Top Bottom