Mgombea urais kupitia CCM Dr JPM ameonyesha kila dalili za kuwa rais wetu ajae 2015!Kiongozi huyu amefanya kampeni zake kisayansi,kimikakati na ameonyesha kujua haswa matatizo ya wanainchi wake,kujua wanaitaji nini na kipi kifanyike!Hongera magufuli,tunasubiri tu uapishwe