cpt
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 1,048
- 716
Hiyo siyo dalili nzuri kama kweli kasema maneno hayo. He should learn to live and work closely with opposition parties which have made good contribution to this country in terms of public governance!!!. Alitakiwa kusema atafanya kazi kwa ukaribu na wapinzani ili kuleta maendeleo ya nchi hii!!
Huwezi kufanya kazi na wapinzani hata kidogo tusidanganyane mkuu. Tena kama hawa wa Tanzania ndio kabisa hawafai, ni kujirudisha nyuma tu. wapo tayari hata kubishia majina yao na kuandamana hawa.