Magufuli ndio habari ya mjini

Magufuli ndio habari ya mjini

Nilishangaa jana nilipoongea na ndugu yangu aliye kijijini huko Geita, akadai huko gumzo ni Lowasa tu. Kwa simple research, huyo Magufuli anakubalika kwa wapaka poda tu (rejea walikaa na wapaka poda mlimani city), lakini kwa watu wengi wasiojua hata hizo poda zinavyofanania, wanaenda na Lowasa tumaini lao.
 
Kama wanabeba sembe na keshoyake wanaitwa magogoni kunywa chai unategemea nini zaidi ya kuendelea kuufurahia huu mfumo....


Come 25th Oct
 
Mabibi na Mabwana,

Shuhuli ya Bwana John Magufuli inaelekea kama ishaanza vile, maana leo katika pita pita zangu mitandaoni nimetembelea page za mastaa wetu kadhaa wa bongo wakiwa wametupia logo ya Magufuli katika harakati za kampeni za #uchaguzi2015 .

Na mimi nimeamua kuitupia logo hii kwenye page yangu ili wana jamii muione na tuweze kuijadili. Binafsi nimeiona ipo simpo na inavutia kwelikweli. Bila shaka inamuakisi mgombea mwenyewe kwakuwa Bwana John Magufuli ni mtu simpo, no makuu na ni mpiga kazi kweli kweli... ndio mana logo pia imeandikwa #hapakazitu


Mi napenda kuuliza juu ya hiyo logo...Hiyo nembo ya mkono ulioshikilia moto unamaanisha nn ? Au ndio wale wanaoabudu moto ?
 
Sisi wasukuma hatutaki hta kumsikia,huyu Msinza katuaibisha kabisa kuuza nyumba za serikali
 
kweli kazi imeanza ya majaamaa kupata kitu kidogo hata kama wanajuwa si malock c ccm hawauziki tena lakini kwa sababu ya mshiko wataleta kila uzushi, eti habari ya mjini- mji gani huwo mbona si hatujaona wala kusikia uzushi huwo natupo mijini . c vibaya wamalize.
 
Mastaa wauza madawa ya kulevya! lazima wajipendekeze kwa CCM kwani ndio iliyowalinda hadi leo wapo mitaani na wanaendelea kutanua na pia ndio wafadhiri wakubwa wa CCM ukiondoa wizi wa fedha za umma
 
Habari ndani ya mji upi?. Maana mjini Mbeya mafuriko, Arusha mafuriko, Dar Mafuriko, Mwanza mapolomoko, wapi tena?. Funguo anayo Luwasa simuiti tena LOWASA NI LUWASA AU LIWASHA lonawasha magamba mpaka yanaruka na kukanyaganaaaa.
 
Mabibi na Mabwana,

Shuhuli ya Bwana John Magufuli inaelekea kama ishaanza vile, maana leo katika pita pita zangu mitandaoni nimetembelea page za mastaa wetu kadhaa wa bongo wakiwa wametupia logo ya Magufuli katika harakati za kampeni za #uchaguzi2015 .

Na mimi nimeamua kuitupia logo hii kwenye page yangu ili wana jamii muione na tuweze kuijadili. Binafsi nimeiona ipo simpo na inavutia kwelikweli. Bila shaka inamuakisi mgombea mwenyewe kwakuwa Bwana John Magufuli ni mtu simpo, no makuu na ni mpiga kazi kweli kweli... ndio mana logo pia imeandikwa #hapakazitu

Lowasa ndio habari ya watanzania.
 
mabibi na mabwana,

shuhuli ya bwana john magufuli inaelekea kama ishaanza vile, maana leo katika pita pita zangu mitandaoni nimetembelea page za mastaa wetu kadhaa wa bongo wakiwa wametupia logo ya magufuli katika harakati za kampeni za #uchaguzi2015 .

Na mimi nimeamua kuitupia logo hii kwenye page yangu ili wana jamii muione na tuweze kuijadili. Binafsi nimeiona ipo simpo na inavutia kwelikweli. Bila shaka inamuakisi mgombea mwenyewe kwakuwa bwana john magufuli ni mtu simpo, no makuu na ni mpiga kazi kweli kweli... Ndio mana logo pia imeandikwa #hapakazitu


mjini wapi mkuu? Maana huku mjini ni lowasa lowassa,
 
Back
Top Bottom