Magufuli ndio habari ya mjini

Magufuli ndio habari ya mjini

Mabibi na Mabwana,

Shuhuli ya Bwana John Magufuli inaelekea kama ishaanza vile, maana leo katika pita pita zangu mitandaoni nimetembelea page za mastaa wetu kadhaa wa bongo wakiwa wametupia logo ya Magufuli katika harakati za kampeni za #uchaguzi2015 .

Na mimi nimeamua kuitupia logo hii kwenye page yangu ili wana jamii muione na tuweze kuijadili. Binafsi nimeiona ipo simpo na inavutia kwelikweli. Bila shaka inamuakisi mgombea mwenyewe kwakuwa Bwana John Magufuli ni mtu simpo, no makuu na ni mpiga kazi kweli kweli... ndio mana logo pia imeandikwa #hapakazitu

Shida ni kwamba wengi wa hao wanao jiita mastaa hawajitambui hata kidogo. Mifano tunayo mingi tu.
Wengi wanatafuta umaarufu kupitia majina ya watu. Aibu zao.
 
Tatizo yupo kwenye gari bovu lililosimama a abiria wengi waliomo wanaogopa kupanda gari linguine kwa sababu wana mizigo yao halam humo so wanailinda.lol!
 
Hbari y mjini kwa wizi Wa Kura kupitia tume ya uchaguzi na wanajeshi
 
Mastaa wa Bongo? wale weneye kashfa zote mbaya za dunia hii? Hahhahaaaa nilidhani umeikuta hio logo kijijini kumbe kwenye page za "mastaa wa bongo"?? wasiojiamini, wanaonunuliwa kwa ahadi za kipuuzi? kama ni hivyo basi sawa, kweli Mgufuli ni habari ya Mijini lakini UKAWA ni habari ya mijini na Vijijini
 
Mabibi na Mabwana,

Shuhuli ya Bwana John Magufuli inaelekea kama ishaanza vile, maana leo katika pita pita zangu mitandaoni nimetembelea page za mastaa wetu kadhaa wa bongo wakiwa wametupia logo ya Magufuli katika harakati za kampeni za #uchaguzi2015 .

Na mimi nimeamua kuitupia logo hii kwenye page yangu ili wana jamii muione na tuweze kuijadili. Binafsi nimeiona ipo simpo na inavutia kwelikweli. Bila shaka inamuakisi mgombea mwenyewe kwakuwa Bwana John Magufuli ni mtu simpo, no makuu na ni mpiga kazi kweli kweli... ndio mana logo pia imeandikwa #hapakazitu
Magufuri hana brand..!
 
Shida yao kubwa ni kwamba watatumia nguvu, pesa na muda yao mwingi kufanya kazi isiyo na mafanikio magufuri bei yake ndogo umkimlinganisha na lowasa brand ya ccm ni analog compared to ukawa New Brand..
hawa hakuna haja ya kuwapa airtime ni kuwapuuzia tu
 
Mabibi na Mabwana,

Shuhuli ya Bwana John Magufuli inaelekea kama ishaanza vile, maana leo katika pita pita zangu mitandaoni nimetembelea page za mastaa wetu kadhaa wa bongo wakiwa wametupia logo ya Magufuli katika harakati za kampeni za #uchaguzi2015 .

Na mimi nimeamua kuitupia logo hii kwenye page yangu ili wana jamii muione na tuweze kuijadili. Binafsi nimeiona ipo simpo na inavutia kwelikweli. Bila shaka inamuakisi mgombea mwenyewe kwakuwa Bwana John Magufuli ni mtu simpo, no makuu na ni mpiga kazi kweli kweli... ndio mana logo pia imeandikwa #hapakazitu

Wangeweka ile logo ya kufuli na funguo.ndio imekaa fresh.
 
Freedom is coming tomorrow tumechoka wakoloni weusi ccm hatuwataki tena
 
Back
Top Bottom