Magufuli na hapa kazi tu

Magufuli na hapa kazi tu

navy boi

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2014
Posts
1,520
Reaction score
482
MAGUFULI NA HAPA KAZI TUU!!
Kauli mbiu ya CCM (Hapa kazi tu) na Uchapaji kazi wa Mgombea wake Dr. J.P.Magufuli inaonyesha dhamira ya dhati ya chama hicho katika kumkomboa Mtanzania.Ni dhahiri kwamba tutaijenga nchi yetu kwa sisi wote kuungana na kwa kila mtu kutekeleza wajibu wa kuwa sehemu ya maendeleo ya nchi hii,hatuwezi kuwa tunataka maslahi yetu ya watanzania ya afya bora,maisha bora na elimu nzuri lakini eti unadhani una mtu ambaye atakuja kukuletea maslahi hayo!Watanzania tubadilike,tunahitajika kiongozi mchapakazi,kujituma na kufanya kazi ipasavyo!!
 
Kwa maelezo yako unamkubali magufuli kwa sababu ya kauli mbiu yake. Cha ajabu yeye mwenyewe ameshaikimbia iyo, sasa anatumia M4C "magufuli for change". Kwaio andika upya uzi wako.
 
magufuli na hapa kazi tuu!!
Kauli mbiu ya ccm (hapa kazi tu) na uchapaji kazi wa mgombea wake dr. J.p.magufuli inaonyesha dhamira ya dhati ya chama hicho katika kumkomboa mtanzania.ni dhahiri kwamba tutaijenga nchi yetu kwa sisi wote kuungana na kwa kila mtu kutekeleza wajibu wa kuwa sehemu ya maendeleo ya nchi hii,hatuwezi kuwa tunataka maslahi yetu ya watanzania ya afya bora,maisha bora na elimu nzuri lakini eti unadhani una mtu ambaye atakuja kukuletea maslahi hayo!watanzania tubadilike,tunahitajika kiongozi mchapakazi,kujituma na kufanya kazi ipasavyo!!

dhamira hiyo mliikalia miaka 53 ndo mnaibuka leo NA DHAMIRA YA KWELI huo si kinginezaidi ya kuwapumbaza watanzania ili muendelee kula bata. Wafadhili wenyewe wamewachoka kwasababu ya ufisadi mnaoendesha angalia hali za watanzania hawa hazitabadilika eti mnamuweka makufuli ya kazi mtu; mmoja hawezi kufanya kazi nyie wangine mkibaki busy na ufisadi hatukubali hata kama mkisema UKAWA ni ya kidini, ukanda na ya mbowe tumeshitukia madili kumbe mnataka kurudi ikulu muendelee kutunyonya tu jamani hii mbaya sana
 
M4C sio mali ya CHADEMA. Kama unabisha nenda mahakamani la sivyo shut up.

Tatizo ccm eti akina January Makamba na Kibajaji ndo vichwa vyenu kwenye kufikiria. Kufikiria kote huko mkaishia kwenye M4C ambayo inatumika na wenzenu? Kwa upeo huu sidhani kama mna hata mbinu mpya za kuiletea Tanzania maendeleo.
 
Tatizo ccm eti akina January Makamba na Kibajaji ndo vichwa vyenu kwenye kufikiria. Kufikiria kote huko mkaishia kwenye M4C ambayo inatumika na wenzenu? Kwa upeo huu sidhani kama mna hata mbinu mpya za kuiletea Tanzania maendeleo.
Hivi unadhani M4C imebuniwa na CHADEMA? Mkapa hakukosea hata kidogo. Hiyo M4C mliyoiiba kwa wengine na kujifanya ni mali yenu sasa imekuwa kaa la moto. Muosha huoshwa. Maccm yameamua kuwavuruga na mnavurugika, tena kirahisi sana.
 
Tatizo ccm eti akina January Makamba na Kibajaji ndo vichwa vyenu kwenye kufikiria. Kufikiria kote huko mkaishia kwenye M4C ambayo inatumika na wenzenu? Kwa upeo huu sidhani kama mna hata mbinu mpya za kuiletea Tanzania maendeleo.

huyo magufuli wenu hatumpi kura ng'o
 
una maana katika miaka yote ya utawala wa ccm hajawahi kutokea kiongozi mchapa kazi kama JPM ?
 
MAGUFULI NA HAPA KAZI TUU!!
Kauli mbiu ya CCM (Hapa kazi tu) na Uchapaji kazi wa Mgombea wake Dr. J.P.Magufuli inaonyesha dhamira ya dhati ya chama hicho katika kumkomboa Mtanzania.Ni dhahiri kwamba tutaijenga nchi yetu kwa sisi wote kuungana na kwa kila mtu kutekeleza wajibu wa kuwa sehemu ya maendeleo ya nchi hii,hatuwezi kuwa tunataka maslahi yetu ya watanzania ya afya bora,maisha bora na elimu nzuri lakini eti unadhani una mtu ambaye atakuja kukuletea maslahi hayo!Watanzania tubadilike,tunahitajika kiongozi mchapakazi,kujituma na kufanya kazi ipasavyo!!

View attachment 288846
 
Nafurahi tunapo msanifu lowassa wakati ndani yetu bado tuna imani na Mh. Dr. JPMagufuli
 

Attachments

  • 1442727549348.jpg
    1442727549348.jpg
    48 KB · Views: 114
Back
Top Bottom