Magufuli matatizo yetu watanzania ni 4

Magufuli matatizo yetu watanzania ni 4

TeamCCM-2015

Senior Member
Joined
Aug 19, 2015
Posts
112
Reaction score
44
1. Ujinga - elimu (huduma mbovu na maslahi duni).
2. Maradhi - huduma za afya mbovu na maslahi duni.
3. Umaskini - ajira (kuanzisha, kuendeleza na kusimamia kilimo bora Chenye tija na masoko, kujenga na kuimarisha viwanda na biashara).
4. Ufisadi.

Tuambie ktk ilani ya ccm utafanya nini kumkomboa tanzania Leo?
 
1. Ujinga - elimu (huduma mbovu na maslahi duni).
2. Maradhi - huduma za afya mbovu na maslahi duni.
3. Umaskini - ajira (kuanzisha, kuendeleza na kusimamia kilimo bora Chenye tija na masoko, kujenga na kuimarisha viwanda na biashara).
4. Ufisadi.
Tuambie ktk ilani ya ccm utafanya nini kumkomboa tanzania Leo?


Magufuli atawajaza manoti kama anavyofanya Mwizi Jambazi aliyekubuhu EL. Khe khe khe khe ke khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Tumpe nafasi magufuli ili atuletee neema zaidi kwa kuwa anaweza,oktoba 25 tukate mzizi wa fitina,tusidanganyike watanzania,magufuli ndio mpango mzima
 
Tumpe nafasi magufuli ili atuletee neema zaidi kwa kuwa anaweza,oktoba 25 tukate mzizi wa fitina,tusidanganyike watanzania,magufuli ndio mpango mzima

Wale wengine tushawashtukia,Magufuli ndio chaguo letu
 
Nyie ni wehu! Kuanzia mtoa mada mpaka mashost zako..
Kama "magufuli ni mpango mzima"
Kwanini umeeleza humu? Ili iweje? Mbona ninyi vijana ni ma pompopoo hivi?
Mengine hata hamjui majukumu ni nini, a little definition of it u knows not.. Umekalia tu magufuli makufuli..

Baadae unaanza, oh maji hakuna, elimu ya shida, nauli zinapata!
Ccm ccm ccm mpaka liniiiiiiiiii? Hii sio zimbabwe! We unafikiri bila marekani kufanya maamuzi ya mabadiliko ingekuwa vile saiz?

Amaa kweli mjinga kaa chini mueleweshe.. Lakini mpumbavu, muacha aende zake!

Magufuli mwenyewe anatamani aamie ukawa lakini anaogopa atapata shida kutoka kwa ccm

Sim yangu
 
Tumpe nafasi Magufuli apambane na kuondo haya ambayo mimi nayaita ni chanagamoto katika kumletea mtanzania maendeleo endelevu,MAgufuli ndio mpango mzima na ndiye kiongozi wetu wa awamu ya tano,watanzania tusifanye makosa katika hili,mkombozi wetu ni magufuli tu na si mwingine,hima tumpe kura ya ndio tarehe 25 oktoba ili atufanyie haya tunayoyataka kwa maendeleo endelevu ya Tanzania
 
Jamani mbona mnasema Magufuri ndio mpango mzima semeni Chagua CCM,tupate Neema zaidi,pigeni kampeni Kama Ukawa wanasema chagua UKAWA.acheni hizo au Magufuri ni mgombea binafsi.sisikii chagua CCM
 
Back
Top Bottom