Umeongea vizuri sana, maana chanzo cha matatizo ya nchi hii ni CCM ndio maana sisi tunataka mabadiliko ambayo tunayapata UKAWA. Nashukuru mungu gamba moja lishaanza elewa nani ni chanzo cha matatizo!!!
Malofa tushafanya maamuzi yetu, subirini muone ubora wetu oct 25.
kila siku nawaeleza dr ndiye rais msije sema wameiba kula!!!!!!cheki kigoma!!maguful anajua anachofanya!!!!maguful 4 change!!!!!to be honest dr is my president no one can change the result and votes for magufuli
tatizo la kukariri nadhan hyu pombe alifaulu kwa chabo ndo maana anashndwa ht kujua km gaddaf ndo rais wa libya,hyu akiambiwa ajitambulishe hukawii kuckia naitwa edward ngoyai lowassa,peopleeeeeeez..
.......