Magufuli kutua na chopa ifakara kesho

Magufuli kutua na chopa ifakara kesho

Hii nchi kubwa huwezi kuimaliza kwa hari,nimemuona ITV amechoooooka na ndio safari imeanza,lowasa bado ana nguvu Moderator huu Uzi wa ccm kukodi chopa ulianza asubuhi,sijui ulipotelea wapi
 
Last edited by a moderator:
Yeye alikua anasoma kwenye makaratasi tu idadi ya barabara za rami sasa kajionea mwenyewe balaa lililopo safari ya kilomita 7 tu unafika hoi kwa kurushwa rushwa na gari kudadeki yeye alikua anaona sifa kukariri idadi za barabara za rami
 
Ha ha nashangaaaa sana na viredio vya huku iifakara vinatangaza et tukampokee uwanja wq ndege mdogo,!!!!!!Ntakua bize nacheza malede
 
MKUU UNENICHEKESHA ANADHANI KUSOMA KM,ndo kuwaza kuzipita kwa gari,huwa anaona raha kuzitamka

Me namuombea asije thubutu kupanda hiyo chopa maana ataleta kituko na kuuza magazeti balaa front page za magazeti mengi atajaa yeye akinangwa. Mtu kama uyu akipewa nchi anaweza siku moja akalala na mkewe wakajadiriana jambo kesho anakuja tangazia taifa kuwa ndio kauli ya serikali
 
Back
Top Bottom