Magufuli kama ni hivi, okoa mda tu

Magufuli kama ni hivi, okoa mda tu

tity

Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
44
Reaction score
15
Kama Magufuli utakuwa unawawajibisha watumishi kwa kuangalia makosa waliyofanya kwenye serikali zilizopita, sioni kama kuna hata haja kufanya ziara za kushitukiza maana hakuna atakaepona!

"Fukuza wote anza kuajiri upya"...save time!
 
Upo sawa kabisa
Yani afanye kama alivyofanyaga TANROADS.
 
Me nataka aanze kumtia ndani lowasa then mkwere.nyie mnasemaje wakuu?
 
Mh. Magufuli fukuza wote taasisi nyeti waajiriwe upya kabisa.
 
Back
Top Bottom