General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,061
Sijui kama hii ni kwangu tu, lakini kiukweli Biashara tangu Mwezi November ni ngumu.
Nilitegemea labda kipindi hiki cha sikukuu lakini mambo ndo yamekuwa magumu tofauti na miaka mingine.
Sikukuu imekwenda hovyo, hela hakuna, na january ndo hii.
Rais huyu kaja na gundu, kaja na mikosi, naona shida zinazidi.
Nilitegemea labda kipindi hiki cha sikukuu lakini mambo ndo yamekuwa magumu tofauti na miaka mingine.
Sikukuu imekwenda hovyo, hela hakuna, na january ndo hii.
Rais huyu kaja na gundu, kaja na mikosi, naona shida zinazidi.