Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,443
- 4,384
Ili viwanda vije lazima tuige utamaduni wa walioendela..
Hapa ndo huwa mnajichanganya....utamaduni wa waliondelea unajumuisha pia kuheshimu mawazo ya wengine na kuheshimu demokrasia, na kubishana na unaotofautiana nao kimawazo kwa hoja siyo bunduki, ebo!