Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,273
- 13,847
Maji yamewafika shingoni wanaotudai $4m, wanauza ndege zao kubwa kabisa 9.
Namshauri Rais Magufuli anayewaambia kwamba yeye ni tajiri achangamkie tenda, tupate ndege nyingine za kwenda America na Ulaya nonstop.
Namshauri Rais Magufuli anayewaambia kwamba yeye ni tajiri achangamkie tenda, tupate ndege nyingine za kwenda America na Ulaya nonstop.