Assalamu alaikum
Tumsifu Yesu Kristu
Bwana Asifiwe
Hizi salamu zina chembechembe ya ubaguzi, iko wapi salamu ya akina Kinje!
Magufuli kuwa mbunifu uje na salamu moja inatosha
Wana-JF msaidie.........
umekosa cha kujadili! ulitaka akusalimieje
sema ww usituambie ss... Alafuu acha kusema kuwa salamu zina ubaguzi... Acha kufikiri kinyume....
Rais mteuliwa hana ubaguzi na kama kama ukiangalia mikutano yake mingi alikuwa akisalimu wanchi kwa lugha nyingi bila kusahau selemaa. Mwisho wa salamu huwa husema yeye atakuwa rais wa watanzania hata asiye na kabila thus hana ubaguzi.....
Au awe anasalimia NIAJE kama alivo wasalimu obama nchini kenya?????
Salamu iwe hivi "Wananchi amani Tanzania" tutajibu "Idumu" alaf anaendela na hotuba au kitu kingine!
Mlolongo ni mrefu...asalimie "Wananchi amani Tanzania" tutamjibu "Idumu" alaf anaendelea hotuba yake..
sema ww usituambie ss... Alafuu acha kusema kuwa salamu zina ubaguzi... Acha kufikiri kinyume....
Rais mteuliwa hana ubaguzi na kama kama ukiangalia mikutano yake mingi alikuwa akisalimu wanchi kwa lugha nyingi bila kusahau selemaa. Mwisho wa salamu huwa husema yeye atakuwa rais wa watanzania hata asiye na kabila thus hana ubaguzi.....
Au awe anasalimia NIAJE kama alivo wasalimu obama nchini kenya?????
..hata mimi hizi salamu za kidini sizipendi.
..siyo Magufuli peke yake anayetakiwa kuachana na utaratibu huo.
..hata viongozi wa vyama vya upinzani nao wanatumia salamu hizo za kidini. na wao waache.
..viongozi waseme tu wanachotaka kukisema bila kuingiza salama za kidini.
..mambo haya yameanza awamu hii ya JK.
..Mwalimu Nyerere, Alhaji Mwinyi, na Mzee Mkapa, hawakutumia salamu hizi.
cc Pelle mza