View attachment 296344View attachment 296345View attachment 296344View attachment 296346[JFMP3]View attachment 296347View attachment 296345View attachment 296345[/JFMP3]
Kila anakopita anapata wahudhuriaki wengi na anaposimama jukwaani anawaeleza wananchi mambo yanayoweza kutekelezeka tofauti na wengi. Tar 25 Magufuli atapata tiketi ya kuingia ikulu kuwatumikia wananchi
ok kama sisi wa ccm na magufuli ni buku 7 lumumba tusubiri oct 25. kila kitu sasa kiko ukutani kwa wenye macho kuona. vipofu ndio bado wana ndoto ya wapiga dili kuongoza nchi hii.Kweli mfa maji haishi kutapatapa. Kwa hali ilivyo sasa, kama ningekuwa shabiki wa CCM, ningekaa pembeni maana ukweli wa anguko la CCM upo wazi. Lakini nasema hivyo labda kwakuwa nina shughuli ya kunipatia riziki. Huenda kama ningekuwa jobless labda ningekuwa kwenye buku saba list hivyo labda ningekuwa napost humu njozi za alinacha kumsifia Magufuli ili mradi mkono uende kinywani. Lakini baada ya uchaguzi, Mola atawapatia buku saba namna nyingine ya kupata riziki maana nao ni waja wake japo hii kazi wanayofanya sasa hakuwapa yeye. Yamepewa na adui wa Maulana.
Kweli mfa maji haishi kutapatapa. Kwa hali ilivyo sasa, kama ningekuwa shabiki wa CCM, ningekaa pembeni maana ukweli wa anguko la CCM upo wazi. Lakini nasema hivyo labda kwakuwa nina shughuli ya kunipatia riziki. Huenda kama ningekuwa jobless labda ningekuwa kwenye buku saba list hivyo labda ningekuwa napost humu njozi za alinacha kumsifia Magufuli ili mradi mkono uende kinywani. Lakini baada ya uchaguzi, Mola atawapatia buku saba namna nyingine ya kupata riziki maana nao ni waja wake japo hii kazi wanayofanya sasa hakuwapa yeye. Yamepewa na adui wa Maulana.