makoko jumanne
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 584
- 164
Mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi John pombe Magufuli ametikisa katika mji wa Geita Kwa kunadi sera zake vzr
Mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi John pombe Magufuli ametikisa katika mji wa Geita Kwa kunadi sera zake vzr
Chadema watavuna walicho panda kwakukosa sera mgombea ananadi sera kwa wana nchi eti ananza mabadiliko nawaambia elimu itakua bure kura mtanipa asanteni saba
Sijawahi kuipigia kura ccm ila mwaka huu kura yangu ni ya kwaoMechi ya home; unategemea nini