Magufuli asomba wadhamini Mjini Morogoro

Magufuli asomba wadhamini Mjini Morogoro

Camalillo

Member
Joined
Oct 12, 2013
Posts
90
Reaction score
83
DSC_2332.JPG
DSC_2336.JPG
DSC_2361.JPG
DSC_2428.JPG
DSC_2431.JPG
DSC_2428.JPG
DSC_2402_1.JPG

 
Huyu undo MTU kepee wa kuifanya ccm ishinde ushindi usiotumia nguvu na MTU pekee wa kuwaombea kura wabunge wa ccm maana hata wapinzani wanamkubali,wakijichanganya ccm watashida lkn watapoteza Vito vingi vya wabunge
 
Ccm wsjipime lkn wawe makini sana na upepo wa sasa wa siasa tunamtaka magufuli maana tunamfaamu wakituletea tusiye mjua kazi wanayo au wabuge watakosa mtu wa kuwaombea kura
 
Ccm wsjipime lkn wawe makini sana na upepo wa sasa wa siasa tunamtaka magufuli maana tunamfaamu wakituletea tusiye mjua kazi wanayo au wabuge watakosa mtu wa kuwaombea kura

Maana naona CCM kwa sasa wanafanya gambling!
 
Maana naona CCM kwa sasa wanafanya gambling!

kweli ila gambling zao siwe na umakini wa hari ya juu wakizani siasa za sasa ni sawa na za mwaka 1995 zilizomtoa mkapa watajijua lkn wakumbuke kama sio myerere mrema angechukua nchi,kama kweli wametengeneza netwark ya kuwapa habari za uhakika zisizo na makundi ila zakusaidia wao kushinda kirahisi wampitishe magufuli watapona kirahisi wasijekuraumiana sana.
 
Maana naona CCM kwa sasa wanafanya gambling!
Huyu ndiye nguzo ya ushindi wa CCM. Anakubalika kila pembe ya nchi. Ni mchapakazi asiye na kifani. Wakati wenzake wanazunguka kujenga makundi ndani ya chama nchi nzima yeye alikuwa akizunguka kuwatumikia wananchi kwa kuwapelekea barabara kila kona ya nchi.
 
mtu pekee amabaye anaweza kusimama mwenyewe pasipo kuitaji msaada wa mtu mwingine na akapeperusha bedera ya ccm kwa kishindo ndani ya wana ccm na nje ya wanaccm,
 
Naona vijana wa Magufuli mnajitekenya na kucheka wenyewe..... Kwa taarifa yenu ujio wa Jaji Ramadhani umempoteza Magufuli kabisa kwenye ramani
 
Huyu ndiye nguzo ya ushindi wa CCM. Anakubalika kila pembe ya nchi. Ni mchapakazi asiye na kifani. Wakati wenzake wanazunguka kujenga makundi ndani ya chama nchi nzima yeye alikuwa akizunguka kuwatumikia wananchi kwa kuwapelekea barabara kila kona ya nchi.

CCM ya Magufuli itaturahisishia sana kazi.

Japo mgombea yoyote wa CCM atashinda lakin Magufuli atatupa ushindi wa zaidi ya 2005.Kwa Magufuli hatuwezi pata chini ya 80%.Na kuwaachia akina Dr Slaa na wenzake wagawane 20% zilizobaki.
 
naona vijana wa magufuli mnajitekenya na kucheka wenyewe..... Kwa taarifa yenu ujio wa jaji ramadhani umempoteza magufuli kabisa kwenye ramani

sio vijana wamagufuli ila watu makini wanaoona tanzania tuliyonayo na aina ya rais anayetakiwa kote unapopita hata kwenye kambi za upinzani wanasema huyo ndo taa ya ccm kwa sasa, hata mp machari bungeni alisema hivyo,inawezekana wakaona jaji kuwa atawavusha hatukatai ili watavuka kwa zoruba kubwa mno lkn pia wabunge wao itakuwa kazi kubwa,sisi hatutaki ushindi wa kugombana tunataka ushindi wa aman,
 
huyu ndiye nguzo ya ushindi wa ccm. Anakubalika kila pembe ya nchi. Ni mchapakazi asiye na kifani. Wakati wenzake wanazunguka kujenga makundi ndani ya chama nchi nzima yeye alikuwa akizunguka kuwatumikia wananchi kwa kuwapelekea barabara kila kona ya nchi.

1, kweli huyo ndo mkombozi wa ccm kushinda bila kutumia nguvu.
2,lkn mtu pekee anayeweza kuwavusha wabunge wa ccm,

vinginevyo siona mtu wa kuwaombea kura na watu wakakubali nawaona wakipotea wengi na bunge likiongozwa na upinzani
 
Naona vijana wa Magufuli mnajitekenya na kucheka wenyewe..... Kwa taarifa yenu ujio wa Jaji Ramadhani umempoteza Magufuli kabisa kwenye ramani
Mkuu kwa Dr. Magufuli CCM itatumia nguvu kidogo na ushindi wake hauwezi tiliwa shaka na watu kwa kuwa ni mtu anayekubalika pande zote kwa uchapaji kazi wake. Huko kwingine ushindi unaweza patikana lakini wa shida kweli kweli na hurnda tukaja shuhudia ugawanaji wa madaraka kat ya CCM na UKAWA
 
Magufuli kauza nyumba za serikali kwa bei ya kutupa. hafaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kabisaaaaaaaaaaa, Fisadi
 
Note; rais ni jaji Augustino Ramadhan period
 
Note; rais ni jaji Augustino Ramadhan period

Na kama CCM wanataka kuonja joto ya jiwe basi wamweke huyo Jaji wanachama wa CCM siyo wajinga kiasi hicho kuletewa mtu ambaye hajakitumikia chama, na hapa ndo utakuwa Mwisho wa ccm lazima wanachama wake wenyewe watakihujumu tu chama, utanimbia siku zijazo.
 
Back
Top Bottom