Magufuli: Anza na wabunge kuisoma namba

Magufuli: Anza na wabunge kuisoma namba

ebaeban

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,205
Reaction score
2,707
Tumesikia habari mbaya leo kwamba bodi ya mikopo ya kujiunga na chuo kikuu HELB imeweza kuwapa mkopo wanafunzi 12000 tu kati ya wanafunzi 70000 iliyowadahili mwaka huu wa masomo. Cha kusikitisha wanafunzi wa kike teyari wameonyeshwa madangulo huko Sinza Mori mahali ambapo wanaweza kupata sh 30000 kutwa , wameonyeshwa na wenzao wazoefu ili wapate hata nauri ya kurudia hadi hapo wanafunzi wengine watakapoweza kupata mkopo kutegemea na upatikanaji wa fedha serikalini..

Rais mteule nakushauri ukiingia ikulu anza nakuwawezesha wanaunzi hawa kwanza , Wabunge watakaohudhuria kikao cha kuapishwa na kuidhinisha jina la waziri mkuu wasubiri posho zao hadi hapo baadae hela itakapopatikana.

Wabunge ndio waanze kuisoma namba, wanafunzi Mh Rais wasaidie wengi ni watoto wa maskini
 
Me nimesikishwa sana hizi habari za wanavyuo kunyimwa mikopo.
 
wawakate mishahara hiyo mibunge zikasaidie wanafunzi
 
Hela za kubeba watu kwenye mikutano walikuwa nazo.
Ila hela za kufanyia mambo ya muhimu hawana.
Hapa Kazi tu.
 
Hichi nacho kilikua ni kipaumbele chake magufuri ktk majukwaa watu wapewe mikopo ya elimu ya juu...ngoja tuone ataamua nini..
 
yaani ni aibu ela za kulipa wasanii zilikuepo ila za wanafunzi hakuna hivi vyama vya siasa vimekua kama magenge ya unyanganyi havina faida kwa tanzania
 
Tumesikia habari mbaya leo kwamba bodi ya mikopo ya kujiunga na chuo kikuu HELB imeweza kuwapa mkopo wanafunzi 12000 tu kati ya wanafunzi 70000 iliyowadahili mwaka huu wa masomo. Cha kusikitisha wanafunzi wa kike teyari wameonyeshwa madangulo huko Sinza Mori mahali ambapo wanaweza kupata sh 30000 kutwa , wameonyeshwa na wenzao wazoefu ili wapate hata nauri ya kurudia hadi hapo wanafunzi wengine watakapoweza kupata mkopo kutegemea na upatikanaji wa fedha serikalini..

Rais mteule nakushauri ukiingia ikulu anza nakuwawezesha wanaunzi hawa kwanza , Wabunge watakaohudhuria kikao cha kuapishwa na kuidhinisha jina la waziri mkuu wasubiri posho zao hadi hapo baadae hela itakapopatikana.

Wabunge ndio waanze kuisoma namba, wanafunzi Mh Rais wasaidie wengi ni watoto wa maskini
wapige bei yale magari 777
 
CCM wametumia 1.9 trillion kwenye kampeni .mamvi anatisha
 
Tumesikia habari mbaya leo kwamba bodi ya mikopo ya kujiunga na chuo kikuu HELB imeweza kuwapa mkopo wanafunzi 12000 tu kati ya wanafunzi 70000 iliyowadahili mwaka huu wa masomo. Cha kusikitisha wanafunzi wa kike teyari wameonyeshwa madangulo huko Sinza Mori mahali ambapo wanaweza kupata sh 30000 kutwa , wameonyeshwa na wenzao wazoefu ili wapate hata nauri ya kurudia hadi hapo wanafunzi wengine watakapoweza kupata mkopo kutegemea na upatikanaji wa fedha serikalini..

Rais mteule nakushauri ukiingia ikulu anza nakuwawezesha wanaunzi hawa kwanza , Wabunge watakaohudhuria kikao cha kuapishwa na kuidhinisha jina la waziri mkuu wasubiri posho zao hadi hapo baadae hela itakapopatikana.

Wabunge ndio waanze kuisoma namba, wanafunzi Mh Rais wasaidie wengi ni watoto wa maskini

Itakuwa Ngumu sana hiyo... Waheshimiwa Wabunge wanatambuliwa na hii Katiba inayopigiwa kelele kila kukicha khs udhaifu uliopo ktk Katiba husika...

Je hao students unaowapigia kelele Katiba inawatambua???
 
Tumesikia habari mbaya leo kwamba bodi ya mikopo ya kujiunga na chuo kikuu HELB imeweza kuwapa mkopo wanafunzi 12000 tu kati ya wanafunzi 70000 iliyowadahili mwaka huu wa masomo. Cha kusikitisha wanafunzi wa kike teyari wameonyeshwa madangulo huko Sinza Mori mahali ambapo wanaweza kupata sh 30000 kutwa , wameonyeshwa na wenzao wazoefu ili wapate hata nauri ya kurudia hadi hapo wanafunzi wengine watakapoweza kupata mkopo kutegemea na upatikanaji wa fedha serikalini..

Rais mteule nakushauri ukiingia ikulu anza nakuwawezesha wanaunzi hawa kwanza , Wabunge watakaohudhuria kikao cha kuapishwa na kuidhinisha jina la waziri mkuu wasubiri posho zao hadi hapo baadae hela itakapopatikana.

Wabunge ndio waanze kuisoma namba, wanafunzi Mh Rais wasaidie wengi ni watoto wa maskini
Tangu umelazwa kwenye madangulo kila siku unawaza kulalwa kwenye madanguro tu.
 
Hela za kubeba watu kwenye mikutano walikuwa nazo.
Ila hela za kufanyia mambo ya muhimu hawana.
Hapa Kazi tu.

Kubeba watu na kupiga fiesta za nguvu na propoganda katika vyombo vya habari. Hivyo ndiyo ccm, hivyo ndivyo vipaumbele vyao, na hayo ndiyo watanzania wanapenda ikiwa ni pamoja na hao unaosikia wanalialia. Mimi niliwaambia subiri hata kabla ya JPM hajaapishwa, wabongo watarudi pale pale kwenye asili yao : kuilalamikia serikali ya ccm. Wanaipenda sana ccm ili wailalamikie kila kukicha!! welcome to bongoland
 
Back
Top Bottom