Magufuli amtembelea Askofu Malasusa

Crimea

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
26,658
Reaction score
38,343
Leo nmemuona mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, John Magufuli, akiwa na mkuu wa KKKT katika usharika wa Azania Front.

Magufuli alifika kanisani hapo majira ya saa sita mcha, akiwa yeye, dereva pamoja na mtu mmoja tu kwenye gari yake..

Alifika kimyakimya na kupokelewa na Askofu Mallasusa na kwenda mojamoja kwenye ofisi ya mchungaji kanisani hapo. Baada ya mda wa nusu saa alitoka tena kimyakimya na kuondoka.

Nadhani alienda kuwekewa mkono wa baraka!!
 
Hii ya Magufuli kwenda kwa Joshua imeshafanya wagombea wa Urais toka CCM waliokwenda huko kufikia watatu. Mita bado inasoma hivyo tutapata majina ya wengine, kisha ndio tutajiuliza na kujadili kwa kina WHY NIGERIA? WHY PRO. JOSHUA?
 
Hii picha hawa watu nawafananisha kutoka kushoto; TB Joshua, John Pombe, Tundu Lissu na sijui mama nani!

Tehe tehe! Basi huyo wa tatu atakuwa Tundu Lisu bin Magufuli.
 
...alienda kuomba suluhu na team mamvi...chimbo la mamvi hilo....
 
First attenders kwa babu wa Loliondo alikuwa magufuri, seems anaamini haya mambo inclusive na ushirikina
 
Kwa Mh Pombe yale mambo ya Clouds kumfanyia surprise ya Birthday party Rais Ikulu hayatakuwepo.
 
Crimea

Hivi Magufuli ni Mlutheri au Mkatoliki?
 
Last edited by a moderator:
Asituletee udini awe neutral
 
Huo ushauri kapewa na six maana ndobkambi yake, na six ni mwenyekitu wa kamati ya sheria ya kkkt. Ila haitamsaidia na hasa kwa kuambatana na mtu mwenye nuksi kama six!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…