Atafute nchi ambazo zilikuwa masikini kama sisi miaka ya 60 zikaendelea kama singapore ,malaysia nk ajenge urafiki nazo ,pia kama kuna wazungu wana nia njema na sisiasijifanye masikini jeuri wakae wafanye mikataba ya maana sio ya kilaghai kama ya wenzake (ukimtoa Nyerere)bado ana nafasi,kumbuka mwalimu wakati wa mwanzo wa uhuru alikuwa upande wa mabepari akivaa suti na tai akagundua sera zao hazikuwa rafiki kwetu akahamia kwa wajamaa,(china na urusi )akaanza kuvaa kama Mao.Sawa, sasa tupe njia ya kumsaidia kupata exposure. Je anze safari za nje ya nchi kila wiki, ajipe ubalozi marekani labda Egpyt au aende akasome Edinburgh kama Nyerere.
Basi walau awe anaangalia CNN, BBC, Al Jazeera etc, walau apate virtual exposureRais wetu anajua matatizo yetu. Yaani kutatua matatizo ya ndani ya nyumba yako mpaka uende kwa jirani? Mathalan ndani hakuna chumvi wala sukari na chanzo cha ukosefu huo unakijua kuwa mkeo anachepusha matumizi ya lazima na kupeleka kwenye upatu. Hapo bado unahitaji msaada wa jirani?
madiplomat wenyewe majipu tuu,sijasema asafiri bali abadili mtazamo wake kwa nchi za kigeni na awe makini na mikataba mipya,asidhani tunaweza kuendelea kutegemea kenya ,uganda na rwanda ,sudan kusini sijui burundi ndio walewale wote tunapambana hakuna wa kumbeba mwenzakeNaona kama una kaaina fulani kaufinyu hivi! Unafahamu maana ya uongozi au "leadership"? Magufuli hayuko peke yake. Ana wataalamu, na madiplomat chungu nzima. Magufuli hana haja ya kwenda ulaya kuangalia viwanda ila muhimu sana ni yeye kuwa na dhamira ya kuweka viwanda Tanzania. Aina gani ya viwanda au viwekwe wapi hiyo ni kazi ya wataalamu.
kwa kwel kk umenena equal distributionKatika sifa kadhaa za mgombea urais kwa tiketi ya ccm huwa ipo ya awe na uzoefu wa masuala ya kimataifa.
sifa hii kwa JPM ilifumbiwa macho,
Nyerere baada ya kusoma nchini alikwenda makerere Uganda na baadae uingereza kunoa Bongo mwinyi alishawahi kukaa Misri ubalozini kwa miaka kadhaa,Mkapa ndio usiseme canada na marekani amekaa sana,JK ziara zake nje ya nchi akiwa foreign affairs minister kwa miaka kumi na miaka kumi ya urais wake ni sawa na kukaa nje miaka mitano,(siungi mkono,it was too much)
JPM alikanyaga Dar es salaam kwa mara ya kwanza mwaka 1984 alipokuwa anakuja kujaza fomu ya kujiunga na UDSM,tangu hapo hajawahi kukaa nje ya nchi kwa zaidi ya mwezi mmoja Amezunguka vichochoro vyote vya Tanzania alipokuwa waziri wa ujenzi akikagua barabara,kazi aliyoiweza kuliko mawaziri wote tangu uhuru .
Back to the point,mimi nimezaliwa Dar Es Salaam na enzi za ujana wangu nilikuwa najiona mtoto wa mjini sana ila siku nilipokanyaga Manhattan mwaka 2002 nilijiona ni mshamba sana kila kitu nilikiona ni kipya na tangu siku hiyo nikajua Dar Es Salaam sio jiji bali ni mji tu.
Wazungu wanakitu wanaita exposure , huwa ni shule tosha kwa tuliosoma zamani tunajua ,mtu wa mtwara kuchaguliwa sekondari wilaya ya Ngara japo kwa upande mmoja ilichangiwa na uhaba wa shule ila ilitusaidia sana,kwa sasa kuna wanafunzi wanazaliwa ndani ya wilaya x,primary mpaka sekondari anasomea ndani ya wilaya hiyohiyo na chuo cha ualimu hapo hapo na anakuja kufundisha shule ndani ya wilaya hiyohiyo ,huyu anakosa exposure atakuwa mshamba tu.
Pia kwa waliopitia vyuo vikuu vya Tanzania mtagundua kuwa lecturers walipata elimu yao nchini bila kwenda nje ya nchi huwa wanakamata sana wanafunzi wakati wa mitihani kuliko walimu waliosomea nje.(sina uhakika kama kutumbua majipu yanhusiana na kukosa exposure )
JPM anasema anataka Tanzania iwe nchi ya viwanda sasa nashangaa itakuwaje nchi ya viwanda wakati anawakimbia wazungu ambao ndio wenye technology ya viwanda,kama hadi pampas za watoto tunaagiza tukubali hatuwezi kujenga viwanda bila kuwa karibu na wazungu,awakaribishe wakae mezani waongee dili win win based bussines,wanatuhitaji pia bado tunawahitaji,ndio maana Nyerere na kuwatimua kote waingereza alifia kwao akukubali kufia Muhimbili
Pia JPM amekaliliwa akisema Dar ndio kioo cha Tanzania ndio maana anataka kujenga daraja toka cocobeach mpaka ocean road,hii ni kukosa exposure,nchi za watu maendeleo huwa yanakuwa balanced na pia fursa zinakuwa balanced kila sehemu kupunguza msongamano wa watu kwenye miji fulani,kuna baadhi ya nchi watu hawataki kuishi miji mikuu kwani fursa ziko kila kona,Juzi tumesikia kuwa Obama atakuwa rais wa pili wa marekani kuishi washngtone baada ya kustaafu na hii ni kwa sababu watoto wake bado wapo shule,other wise angerudi kwao chicago,JK wakati anakabidhi ikulu na kutuaga kuwa anarudi kijijini helicopter ilimpeleka Msoga mchana jioni akarudi nayo Dar.
Tanzania sio Dar tu
Pia exposure inasaidia kuimprove lugha za kigeni,hili sitaki kuliongelea sana hapa nisije kuchafua jukw
Ushauri mzuri. Japo ningependa nikukumbushe sera ya mambo ya nje bado ipo vilevile kwa hiyo huwezi kusema ana wakimbia wazungu.Atafute nchi ambazo zilikuwa masikini kama sisi miaka ya 60 zikaendelea kama singapore ,malaysia nk ajenge urafiki nazo ,pia kama kuna wazungu wana nia njema na sisiasijifanye masikini jeuri wakae wafanye mikataba ya maana sio ya kilaghai kama ya wenzake (ukimtoa Nyerere)bado ana nafasi,kumbuka mwalimu wakati wa mwanzo wa uhuru alikuwa upande wa mabepari akivaa suti na tai akagundua sera zao hazikuwa rafiki kwetu akahamia kwa wajamaa,(china na urusi )akaanza kuvaa kama Mao.
hivi unaweza ukakaa ndani dili zikajileta zenyewe,usidhani rais wa China na Obama kuja TZ mwaka 2013 walikuja kuuza sura,walikuwa wanafukuzia dill,hata wewe ulipomaliza chuo ulisambaza CV kutafuta kazi,ungekaa ndani hata hii simu unayotumia usingenunuaKwahyo magufuli akisafiri ndo uchumi utabadilika mkwere aliyekua angani mda mrefu alilisaidia mini taifa. Magufuli anajitahidi kwa kiasi chake Tanzania itaendelezwa na watanzania wenyewe mzungu wala mchina hao wanatu exploit tu ili kujinufaisha. Sioni shida ya kutumbuliwa watu at least heshima imeanza kurudi kwenye sector mbalimbali na accountability japo mapungufu hayaishi.
Ha ha ha haaah eti uvaaji na uzungumzaji wake....!!!kwa aina ya uvaaji wake, uzungumzaji wake na hata style yake ya kazi ameanza kwa kufeli time will tell
Duuh hiyo ya chopa kwenda na kurudi na abiria aliepelekwa kali.
Kuna mambo fulani kama unayakosa, inabidi ukubali tu kuwa huwezi na umuite mwingine mfanye kazi pamoja kwa manufaa ya wote. Sisi tuna rasilimali lakini hatuna teknolojia, so hatuwezi kukomalia tu kwamba wageni wanatunyonya. Mfano, tungewezaje kujua kama tuna gesi ya kumwaga nchini mwetu kama tusingeingia makubaliano ya uwekezaji na watafiti kutoka nje ya nchi? Wao wanayo teknolojia ya kujua wapi pana gesi, wapi pana uranium, wapi pana mafuta etc. So lazima tushirikiane nao, tuwaite waje kuwekeza katika tafiti na uvunaji, then tuingie mikataba iliyo wazi yenye kutunufaisha wananchi wengi. Lakini kama tukisema kila kitu tunaweza (wakati sio kweli), watoto wetu kukosa huduma bora za afya, maji na elimu wakati tunazo rasilimali za kugharamia hayo yoteKwahyo magufuli akisafiri ndo uchumi utabadilika mkwere aliyekua angani mda mrefu alilisaidia mini taifa. Magufuli anajitahidi kwa kiasi chake Tanzania itaendelezwa na watanzania wenyewe mzungu wala mchina hao wanatu exploit tu ili kujinufaisha. Sioni shida ya kutumbuliwa watu at least heshima imeanza kurudi kwenye sector mbalimbali na accountability japo mapungufu hayaishi.
Nini maana ya ubalozi?Katika sifa kadhaa za mgombea urais kwa tiketi ya ccm huwa ipo ya awe na uzoefu wa masuala ya kimataifa.
sifa hii kwa JPM ilifumbiwa macho,
Nyerere baada ya kusoma nchini alikwenda makerere Uganda na baadae uingereza kunoa Bongo mwinyi alishawahi kukaa Misri ubalozini kwa miaka kadhaa,Mkapa ndio usiseme canada na marekani amekaa sana,JK ziara zake nje ya nchi akiwa foreign affairs minister kwa miaka kumi na miaka kumi ya urais wake ni sawa na kukaa nje miaka mitano,(siungi mkono,it was too much)
JPM alikanyaga Dar es salaam kwa mara ya kwanza mwaka 1984 alipokuwa anakuja kujaza fomu ya kujiunga na UDSM,tangu hapo hajawahi kukaa nje ya nchi kwa zaidi ya mwezi mmoja Amezunguka vichochoro vyote vya Tanzania alipokuwa waziri wa ujenzi akikagua barabara,kazi aliyoiweza kuliko mawaziri wote tangu uhuru .
Back to the point,mimi nimezaliwa Dar Es Salaam na enzi za ujana wangu nilikuwa najiona mtoto wa mjini sana ila siku nilipokanyaga Manhattan mwaka 2002 nilijiona ni mshamba sana kila kitu nilikiona ni kipya na tangu siku hiyo nikajua Dar Es Salaam sio jiji bali ni mji tu.
Wazungu wanakitu wanaita exposure , huwa ni shule tosha kwa tuliosoma zamani tunajua ,mtu wa mtwara kuchaguliwa sekondari wilaya ya Ngara japo kwa upande mmoja ilichangiwa na uhaba wa shule ila ilitusaidia sana,kwa sasa kuna wanafunzi wanazaliwa ndani ya wilaya x,primary mpaka sekondari anasomea ndani ya wilaya hiyohiyo na chuo cha ualimu hapo hapo na anakuja kufundisha shule ndani ya wilaya hiyohiyo ,huyu anakosa exposure atakuwa mshamba tu.
Pia kwa waliopitia vyuo vikuu vya Tanzania mtagundua kuwa lecturers walipata elimu yao nchini bila kwenda nje ya nchi huwa wanakamata sana wanafunzi wakati wa mitihani kuliko walimu waliosomea nje.(sina uhakika kama kutumbua majipu yanhusiana na kukosa exposure )
JPM anasema anataka Tanzania iwe nchi ya viwanda sasa nashangaa itakuwaje nchi ya viwanda wakati anawakimbia wazungu ambao ndio wenye technology ya viwanda,kama hadi pampas za watoto tunaagiza tukubali hatuwezi kujenga viwanda bila kuwa karibu na wazungu,awakaribishe wakae mezani waongee dili win win based bussines,wanatuhitaji pia bado tunawahitaji,ndio maana Nyerere na kuwatimua kote waingereza alifia kwao akukubali kufia Muhimbili
Pia JPM amekaliliwa akisema Dar ndio kioo cha Tanzania ndio maana anataka kujenga daraja toka cocobeach mpaka ocean road,hii ni kukosa exposure,nchi za watu maendeleo huwa yanakuwa balanced na pia fursa zinakuwa balanced kila sehemu kupunguza msongamano wa watu kwenye miji fulani,kuna baadhi ya nchi watu hawataki kuishi miji mikuu kwani fursa ziko kila kona,Juzi tumesikia kuwa Obama atakuwa rais wa pili wa marekani kuishi washngtone baada ya kustaafu na hii ni kwa sababu watoto wake bado wapo shule,other wise angerudi kwao chicago,JK wakati anakabidhi ikulu na kutuaga kuwa anarudi kijijini helicopter ilimpeleka Msoga mchana jioni akarudi nayo Dar.
Tanzania sio Dar tu
Pia exposure inasaidia kuimprove lugha za kigeni,hili sitaki kuliongelea sana hapa nisije kuchafua jukwaa