Tasbeeh313
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 1,919
- 2,056
Habari wakuu,
Hvi kwanini Magufuli katika kampeni zake ameshawahi kumnadi Ridhwani Kikwete?
Hvi kwanini Magufuli katika kampeni zake ameshawahi kumnadi Ridhwani Kikwete?
Habary wakuu hivi kwa nn magufuri katika kampeni zake amexhawahi kumnadi ridhwani kikwete...,?
Alimnad na alinad mafisad yote na walipewa kitabu cha ilani ya chama cha ccm....kuna wengine aliwaombea msamha kwa wananchi na walipiga hadi magoti!!!! Suala la riz one hakutakiwa amnad hata kidog....hyu naye eti alimuomba maguful apeleke maji chalinze!!!! Hvi kwa pesa aliyonayo, ngvu ya baba ake na fungu la ccm alishindwaje?????? Ni mbunge mzigo kwa watu wa Chalinze na wataisoma numberrrr
Habary wakuu hivi kwa nn magufuri katika kampeni zake amexhawahi kumnadi ridhwani kikwete...,?
Wagombea waliokuwa wanauzika hakuwanadi kama Ngeleja!
Umeandika kwa uzito unaostahili .Alimnad na alinad mafisad yote na walipewa kitabu cha ilani ya chama cha ccm....kuna wengine aliwaombea msamha kwa wananchi na walipiga hadi magoti!!!! Suala la riz one hakutakiwa amnad hata kidog....hyu naye eti alimuomba maguful apeleke maji chalinze!!!! Hvi kwa pesa aliyonayo, ngvu ya baba ake na fungu la ccm alishindwaje?????? Ni mbunge mzigo kwa watu wa Chalinze na wataisoma numberrrr
Weeee !! Umeandika kweli mkuu ?Sio kumnadi tu,na uwaziri anapewa sasa!!
Alimnad na alinad mafisad yote na walipewa kitabu cha ilani ya chama cha ccm....kuna wengine aliwaombea msamha kwa wananchi na walipiga hadi magoti!!!! Suala la riz one hakutakiwa amnad hata kidog....hyu naye eti alimuomba maguful apeleke maji chalinze!!!! Hvi kwa pesa aliyonayo, ngvu ya baba ake na fungu la ccm alishindwaje?????? Ni mbunge mzigo kwa watu wa Chalinze na wataisoma numberrrr
Sio kumnadi tu,na uwaziri anapewa sasa!!