Magufuli alipendwa Africa nzima na sehemu kubwa duniani walikuwa wanamuelewa sana. Ndiyo maana alitoboa. Nyerere alipoona hapendwi tena, aling'atuka

Magufuli alipendwa Africa nzima na sehemu kubwa duniani walikuwa wanamuelewa sana. Ndiyo maana alitoboa. Nyerere alipoona hapendwi tena, aling'atuka

Common Folk

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
878
Reaction score
3,920
Nguvu yake ilianza from the grassroots (wananchi).

Alikuwa ni mtu wa watu. Hakupenda mtu aonewe bila sababu yoyote.

Ndiyo maana pamoja na kuwanyali mabeberu, aliweza kutoboa katika uongozi wake.

Na siku zote ukitaka utoboe kwenye uongozi wa nchi, basi hakikisha wananchi wanakuelewa kwanza, ikiwa raia hawakuelewi na hawakutaki, tena wakafikia mpaka hatua ya kuandamana, katika dunia ya sasa bora ukae pembeni tu.

CCM wanajua sana, hakuna beberu yoyote anayeenda kufanya investment kwenye nchi isiyo na mshikamano. Iwe Mmarekani, Mu-Europe, Mchina, Muarabu, Mjapani, Mkorea nk.
 
Picha ya magufuli ikishindanishwa na mama Samia basi picha ya hayati magufuli inashinda kwa 87.6%.
 
Back
Top Bottom