Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
- Thread starter
- #21
Yaani wakati akisema hayo wazee walikuwa wameinama kwa aibu!Rais anatoaje kauli kama hizo???Tatizo hapa ni kuwa mkuu wa kaya haoni tofauti ya demokrasia inavyoendeshwa huko Marekani na kwetu hapa. Tusimlaumu, pengine huko nyuma hakuona umuhimu wa kujua tofauti. Tujilaumu waTanzania tuliomuingiza ikulu kwa kishindo.