Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
Hiyo nimeisikia akiwa anazungumza na viongozi wastaafu!Anasema hata huko duniani wanamuacha Rais anaongoza anavyotaka,kwamba atakuja kuhukumiwa baadae!
Akatolea mfano Obama,kwamba yuko kimya kamuacha Trump aongoze kivyake!
Kauli hizi zimenishtua sana,kwamba JPM anataka aachiwe nchi aongoze kivyake,daaaah kwani nchi ni Mali ya familia?
Na je,alilengwa nani kwa mfano ule wa Obama?Au ni yule aliyeingia mitini mwaliko wa wazee ikulu?
Akatolea mfano Obama,kwamba yuko kimya kamuacha Trump aongoze kivyake!
Kauli hizi zimenishtua sana,kwamba JPM anataka aachiwe nchi aongoze kivyake,daaaah kwani nchi ni Mali ya familia?
Na je,alilengwa nani kwa mfano ule wa Obama?Au ni yule aliyeingia mitini mwaliko wa wazee ikulu?