Magufuli acha vitisho, tumebalehe kiakili

Magufuli acha vitisho, tumebalehe kiakili

Siyo jambo zuri kiongozi kama yeye kuhubiri ya Libya, wakati suala la Libya liko wazi kuwa pale tatizo siyo wananchi pekee. Lakini ni msukumo kutoka mataifa makubwa katika kuondoa udikteta. Sasa nchi yetu tuna utaratibu wa kufanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano. Hapo makufuli anapindisha ukweli.


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Na hayo mataifa sasa yanajuta, maana wakimbizi wanapitia huko huko!
 
CCM hata katiba yetu wameikataa..
hawataki mabadiliko kwa sababu kamba walizotufunga kutushikilia zikikatika hawana bahati.
rasilimali za nchi hawatozimiliki tena na kuzifanyia umangimeza..

Jamani, hivi kwa nini mnajisahaurisha hivi? Aliyeandika katiba ile ni Chenge akitegemea itamfaa swahiba wake lowasa. Kwa kumchagua lowasa msitegemee kupata katiba mpya itakayo mpunguzia madaraka.
 
Back
Top Bottom