MAGUFULI aanze kampeni ya 2020

MAGUFULI aanze kampeni ya 2020

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,902
Reaction score
15,928
Kwa kufuru niliyoiona leo Mwanza namshauri Rais wetu kipenzi Dr. John Pombe Joseph Magufuli asijichoshe tena kupiga kampeni kwa ajili ya uchaguzi huu maana ni dhahiri ameshashinda tena kwa kishindo, kuanzia mkutano ujao aanze kupiga kampeni ya awamu yake ya pili 2020 ambapo atakuwa anapambana na kijana mahiri Zitto Kabwe ambaye ndio atakuwa mpinzani mkuu mwaka huo, UKAWA itakuwa imekufa, CHAGADEMA itakuwa ICU, so upinzani utakuwa kati ya CCM na ACT. Au akiona ni mapema sana kuanza kampeni za 2020 basi apande jukwaani kutufundisha mazoezi ya push up basi, in short Magufuli ni Rais tayari, tunaisubiri tar 25 kukamilisha ratiba tu.

#HAPAKAZITU
 
Safi sana, 2020 anpita bila ya upinzani maana UKAWA ndio imesha zikwa rasmi.
 
Hahaha sawa kabisa yaan umeomgea kitu ambacho kipo na kinaonekana
 
Kwa kufuru niliyoiona leo Mwanza namshauri Rais wetu kipenzi Dr. John Pombe Joseph Magufuli asijichoshe tena kupiga kampeni kwa ajili ya uchaguzi huu maana ni dhahiri ameshashinda tena kwa kishindo, kuanzia mkutano ujao aanze kupiga kampeni ya awamu yake ya pili 2020 ambapo atakuwa anapambana na kijana mahiri Zitto Kabwe ambaye ndio atakuwa mpinzani mkuu mwaka huo, UKAWA itakuwa imekufa, CHAGADEMA itakuwa ICU, so upinzani utakuwa kati ya CCM na ACT. Au akiona akiona ni mapema sana kuanza kampeni za 2020 basi apande jukwaani kutufundisha mazoezi ya push up basi, in short Magufuli ni Rais tayari, tunaisubiri tar 25 kukamilisha ratiba tu.

#HAPAKAZITU

We Kweli screpa
 
Scraper...!!! U need recycling...!!!
Ur walking dead..!!
 
Kwa kufuru niliyoiona leo Mwanza namshauri Rais wetu kipenzi Dr. John Pombe Joseph Magufuli asijichoshe tena kupiga kampeni kwa ajili ya uchaguzi huu maana ni dhahiri ameshashinda tena kwa kishindo, kuanzia mkutano ujao aanze kupiga kampeni ya awamu yake ya pili 2020 ambapo atakuwa anapambana na kijana mahiri Zitto Kabwe ambaye ndio atakuwa mpinzani mkuu mwaka huo, UKAWA itakuwa imekufa, CHAGADEMA itakuwa ICU, so upinzani utakuwa kati ya CCM na ACT. Au akiona ni mapema sana kuanza kampeni za 2020 basi apande jukwaani kutufundisha mazoezi ya push up basi, in short Magufuli ni Rais tayari, tunaisubiri tar 25 kukamilisha ratiba tu.

#HAPAKAZITU

Atapita bila kupingwa
 
Kazi iliyopigwa LINDI, PWANI, PEMBA , UNGUJA NA MWANZA LEO HII imewachanganya UKIWA ..... Naunga Mkono Hoja..GUFULI lianze kushughulikia reform za kwenye Chama na muundo mpya wa serikali....... MAFISADI WAKO HOI!!!! Hivi SUMAYI na LOWASA bado wanalipwa na SERIKALI?
 
Kazi iliyopigwa LINDI, PWANI, PEMBA , UNGUJA NA MWANZA LEO HII imewachanganya UKIWA ..... Naunga Mkono Hoja..GUFULI lianze kushughulikia reform za kwenye Chama na muundo mpya wa serikali....... MAFISADI WAKO HOI!!!! Hivi SUMAYI na LOWASA bado wanalipwa na SERIKALI?

wanakula 80% mkuu, na bado wanasema CCM haijafanya kitu tangu Uhuru
 
Back
Top Bottom