Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,172
Kwani rais akiwa dar hapumziki? Halafu urais sio kubeba matofari ili kujenga nchi, akiwa popote anaweza kufanya kazi, kama unabisha jaribu kukwepa kodi bandarini uone kama utafanikiwa.Mwenzake Uhuru yuko Paris, ku-negotiate na wakuu wa kampuni ya TOTAL ya ndo kwanza anachukua likizo kabla hata ya miezi 6??? maisha mtaani magumu kama nini, mapato ya TRA hayaeleki, bandarini kumepooza, elimu bure majanga! MCC haieleweki, sidhani kama ni busara kupumzika wakati nchi hata inapita kwenye wakati mgumu kiasi hiki!
Mwenzake Uhuru yuko Paris, ku-negotiate na wakuu wa kampuni ya TOTAL ya ndo kwanza anachukua likizo kabla hata ya miezi 6??? maisha mtaani magumu kama nini, mapato ya TRA hayaeleki, bandarini kumepooza, elimu bure majanga! MCC haieleweki, sidhani kama ni busara kupumzika wakati nchi hata inapita kwenye wakati mgumu kiasi hiki!
POPOMA upo dar sio?Hata Wakati Magufuli Anaiweka Nchi Sawa Kutoka Kwa MAFISADI Walioimaliza Nchi Hii Huyo UHURU Kenyatta Alikuwa The Hague Akihangaika Kujibu Tuhuma Zilizokuwa Zikimkabili. Mwisho Nakusihi Sana Jifunze Kutofautisha Yanayotokea Kenya Na Tanzania Na Hasa Zaidi Suala Zima La Presidential Protocals.
Kwani ni nani huyo aliyekuwa anasuka twende kilioni?Hivi uyo dada nyuma yao ndo yule anayesukaga twende kilioni?
Yumo humumuhumu nchini na kazi yafanyika kama kawa....Mwenzake Uhuru yuko Paris, ku-negotiate na wakuu wa kampuni ya TOTAL ya ndo kwanza anachukua likizo kabla hata ya miezi 6??? maisha mtaani magumu kama nini, mapato ya TRA hayaeleki, bandarini kumepooza, elimu bure majanga! MCC haieleweki, sidhani kama ni busara kupumzika wakati nchi hata inapita kwenye wakati mgumu kiasi hiki!
Jibu zuri sana la kiuweledi wa hali ya juu.
POPOMA upo dar sio?
Hivi huyu Odinga amegongewa Passport? Au ndiyo mambo ya kujuana. Hata kuingia nchini sijui kama maafisa wa Uhamiaji walikuwa makini. Majipu ni mengi!View attachment 334691 Rais Magufuli alitembelewa kijijini kwake Chato na rafiki yake kipenzi Raila Odinga kwa takribani siku tatu na leo Waziri Mkuu huyo wa zamani wa Kenya ameondoka kurejea Kenya.
Du!magufuli asipokuwa makini atasababisha mgogoro na rais Uhuru Kenyata...Haya mambo ya urafiki na wapinzani wa serikali sio mazuri kabisa..Kesho Uhuru Kenyata akianzisha urafiki na Maalim Seif itakuwaje
Msamehe bure Magufuli ,ingekua ni Jakaya saa hizi yupo zake anabembea kwenye mabembea JamaicaMwenzake Uhuru yuko Paris, ku-negotiate na wakuu wa kampuni ya TOTAL ya ndo kwanza anachukua likizo kabla hata ya miezi 6??? maisha mtaani magumu kama nini, mapato ya TRA hayaeleki, bandarini kumepooza, elimu bure majanga! MCC haieleweki, sidhani kama ni busara kupumzika wakati nchi hata inapita kwenye wakati mgumu kiasi hiki!
una umri gani..hivi ukiambiwa mtu mwenye madaraka kama ya RAIS, CDF,IGP n.k wapo mapumziko unadhani wana pumzika kama wewe...Mwenzake Uhuru yuko Paris, ku-negotiate na wakuu wa kampuni ya TOTAL ya ndo kwanza anachukua likizo kabla hata ya miezi 6??? maisha mtaani magumu kama nini, mapato ya TRA hayaeleki, bandarini kumepooza, elimu bure majanga! MCC haieleweki, sidhani kama ni busara kupumzika wakati nchi hata inapita kwenye wakati mgumu kiasi hiki!
naona ume upgrade mwandikoTupo Pamoja Sana Mkuu Katika Kuwaelimisha Ambao Kwa Bahati Mbaya Sana Tumewaacha KIUPEO Na KIAKILI. Napenda Mno KUWAAMBUKIZA Watu FIKRA ZA KIMANTIKI Na ZILIZOTUKUKA Ili Ikiwezekana Basi Taifa Letu Liwe La " Majiniasi " Tupu!
Hahahahahaha yaani ata mm niliposoma comment yake nilijua tu huyu mwanafunzi wa form 2Mbona nyie wanafunzi mnasumbua sana ivii shule hazijafungua
Kumbe ulisoma chuo cha SAUT kilichopo Gisenyi.POPOMA Shangazi Yako! Sipo Dar Hivi Nyie Mbona Mnalazimisha Mimi Kuishi Dar? Nitafutieni Basi URAIA Wa Huko Kwenu Ili Nihamie Kwani Nimewachoka Sasa. Jamani Mimi Ni MNYARWANDA Kabila La KITUTSI Na Nipo Nchini Kwetu Rwanda Mwaka Wa 11 Huu Ila Niliwahi Kuishi Tanzania Wakati Nikichunga Ng'ombe Zetu Za " Ankole ".