Magufuli 2015: Kitu chenyewe MKOPO, halafu mtu akose?

Magufuli 2015: Kitu chenyewe MKOPO, halafu mtu akose?

Mheshimiwa rais anapigania wanyonge
Hao hao wanyonge anaowapigania ndio aliwaambia wote watapata mkopo wakiwa wanasoma Elimu ya Chuo kikuu kipindi anawanyenyekea hadi alipiga pushups, lakini leo hao hao wanyonge anawaambia hawapi Mkopo(nasisitiza ni Mkopo) maana anatakayewapa ni KICHAA.

Anawapigania wanyonge gani?
 
Hiiii
10293D22-B0C0-4110-B7D0-2F5D98720E3E.jpeg
 
Mheshimiwa rais anapigania wanyonge
Acheni upuuzi, hata wanaosoma private ni wanyonge wauza dagaa, wauza vitumbua, wafugaji na wakulima.
Kumbukeni shule za serikali ni chache na wanaofaulu ni wengi.
Hivyo wazazi hulazimika kuwatafutia watoto elimu kwa kujiumiza kuwapeleka shule za kulipia, badala ya kumtua mnyonge mzigo tena aliyepigania elimu kwa nguvu kubwa, unamnyima mkopo eti kasomesha shule ya kulipia!

Ccm ni janga na mkuu wake
 
Hao hao wanyonge anaowapigania ndio aliwaambia wote watapata mkopo wakiwa wanasoma Elimu ya Chuo kikuu kipindi anawanyenyekea hadi alipiga pushups, lakini leo hao hao wanyonge anawaambia hawapi Mkopo(nasisitiza ni Mkopo) maana anatakayewapa ni KICHAA.

Anawapigania wanyonge gani?
Labda waliosoma PRIVATE siyo wanyonge...
 
Acheni upuuzi, hata wanaosoma private ni wanyonge wauza dagaa, wauza vitumbua, wafugaji na wakulima.
Kumbukeni shule za serikali ni chache na wanaofaulu ni wengi.
Hivyo wazazi hulazimika kuwatafutia watoto elimu kwa kujiumiza kuwapeleka shule za kulipia, badala ya kumtua mnyonge mzigo tena aliyepigania elimu kwa nguvu kubwa, unamnyima mkopo eti kasomesha shule ya kulipia!

Ccm ni janga na mkuu wake
waelewe kusomesha private siyo lzm uwe tajiri na mtoto kutoka chekechea hadi chuo kikuu ni miaka mingi unaweza kuwa ajira huna au biashara ishakufa,kimsingi mkopo wapewe wote bila kujali hayo ya nyuma.
 
waelewe kusomesha private siyo lzm uwe tajiri na mtoto kutoka chekechea hadi chuo kikuu ni miaka mingi unaweza kuwa ajira huna au biashara ishakufa,kimsingi mkopo wapewe wote bila kujali hayo ya nyuma.
Kweli mkuu, pia wafahamu nafasi ni chache kwa shule za serikali
 
Si Mkakope Bank Nyie team Private school!

Kama loan Board wamekataa kukukopesha Mwambie Mama yako aende akakope kwenye Viccoba Au Saccos
 
Watoto Wa shule za serikali wasio na ada ya private
Endeleeni kujenga matabaka tu wapo watu wanafunzi waliofadhiliwa, waliosaidiwa,wapo ambao wazaz wameuza aseti zao kama mashamba, mifugo, hata nyumba zao za urthi ili tu wawawekee watoto wao misingi iliyobora kwa kuamini huko juu mkopo upo alafu pia huo mkopo anakopeshwa mtoto na sio mzazi atakaelipa pia ni hyo huyo mtoto baada ya kumaliza masomo ya juu leo mnawahukumu kwa mapenzi ya wazazi wao kwa watoto hivi hizo kanuni za matabaka zmeanza lini make mikopo ilikuwa inawahusu wa Tanzania wote leo mna kanuni zenu hivi hakuna viongozi waliosoma private katka nchi hii!!!!!!!! Aibu yenu
 
Mwaka 2015
".Kitu Chenyewe Mkopo, Alafu Mtu Akose?."-JPM

Mwaka 2018
".Wewe Kama Ni Mwanafunzi, Umesoma Private School, Leo Uje Uchukue Fomu Ujaze Eti Wakupe Mkopo Wamekuwa VICHAA?."- JPM
khaaaaaaa!!
 
2020 atakuja na kauli nyingine kabisa. Mwanangu simuondoi private kama MUNGU ananipa uhai. Kuna rafiki yangu kapeleka watoto wake shule za serikali wako wawili anadai hekaheka wanayoipata watoto wakati wa likizo sio ndogo kutafuta tuition na notes, huwa wanakaa temu nzima hawana mwalimu. Hizo hela za bodi akanunue ndege ndio tatizo la ushamba.
 
Wanasiasa hawaaminiki hata siku moja. Analolisema leo analikana kesho
 
Back
Top Bottom