Magomeni: Mtu Mmoja afia Nyumba ya wageni

Itzmusacmb

JF-Expert Member
Jun 22, 2016
1,531
1,132
Mtu mmoja amefia nyumba ya wageni "Lodge" hapa Magomeni Kagera eneo maarufu kama "Friends Corner "Lodge ya Jumba la Dhahabu ,Haijafahamika mpaka sasa kama ni Mwanaume au Mwanamke, ILA kwa tetesi za watu wanadai ni mwanamke na Polisi hawakuweza kuzungumzia swala hili wala kuonesha mwili

f401ded9527680e1f0de2174bd08db87.jpg


91e9588211f5025fd2f30131f0df38df.jpg
 
Dah! Itakuwa kuna ms*ng mmoja kampelekea pmb mpaka akakosa pumzi... Jamani jamani, msifanye kama vile hamtafanya kesho... Na nyie wadada mpunguze kutuchuna... Unamchuna mwanaume mpaka anakuwa na hasira ya pesa yake afu anaimalizia hasira kwenye sita kwa sita! Too bad...
 
Kwahiyo kama amekufa... Sisi tufanyeje???
Tulie??? Tucheke???

Sababu hujatuambia mtu mwenyewe ni male, female, jina....

Taarifa yako haina msaada wowote hapa.
Mpumbavu ww, km haikusaidii Usingefungua uzi, kwan umelazimishwa ?
 
Mleta uzi hauko sawa kha!kwani kufa mtu ni ajabu?
Au ajabu ni kufia lodge?
Au ajabu ni kutojua mfu ni me/ke?
Au ajabu kutojua coz ya kifo?

Au wewe mwenyewe ndo wa ajabu

Sielewielewi hapo
 
Guest kuitwa Jumba la Dhahabu unaweza kupata hisia kwamba ni jumba la majini.
 
Dah! Itakuwa kuna ms*ng mmoja kampelekea pmb mpaka akakosa pumzi... Jamani jamani, msifanye kama vile hamtafanya kesho... Na nyie wadada mpunguze kutuchuna... Unamchuna mwanaume mpaka anakuwa na hasira ya pesa yake afu anaimalizia hasira kwenye sita kwa sita! Too bad...
Naona una hukumu.wakati haujaambiwa kama ni mwanamke mkuu vipi?
 
RIP. Tuombe akiwa mwanaume au mwanamke alilala hapo kwa nia njema na siyo kwa kum-cheat mwanamume au mwanamke wake.
 
Hiyo gest haita pata wateja wenyeji kwa muda kidogo hasa baada ya kuonyeshwa jinalake.
 
Kwahiyo kama amekufa... Sisi tufanyeje???
Tulie??? Tucheke???

Sababu hujatuambia mtu mwenyewe ni male, female, jina....

Taarifa yako haina msaada wowote hapa.
Inawezekana huna ndugu hapa mjini lkn kuna wengi wana ndugu wanaozunguka sana hii ni msaada kwa mtu aliepotelewa na ndugu yake kwenda kufanya utambuzi. Siku ukianza kupata majukumu ya mkuu familia ndio utaweza kujua haya niyasemayo lkn km unategemea wazazi wako hili linaweza kuwa jambo LA kitoto kwako
 
Back
Top Bottom