Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,694
- 19,694
Ni soft?Tupigie 0717758409 . Tunakuletea mpaka nyumbani kwa Dar es salaam na kibaha. View attachment 2962648View attachment 2962649
Ni soft?Tupigie 0717758409 . Tunakuletea mpaka nyumbani kwa Dar es salaam na kibaha. View attachment 2962648View attachment 2962649
Inategemea na kampuni na nch ngapi piaBei yake ikoje kwa 4x6, 4½x6, 5x6?
Nina magodoro aina zote unahitaji godoro gani mkuuNi soft?
Nilinunuliwa magodoro na ndugu yangu nikakuta ni magumu sana unakuwa kama umelala sakafuni. Kwa bahati mbaya ni mikoani; je mna branches huko mikoani? Ninahitaji magodoro soft, ila sijui brands zizlizopo kwani mimi ninaishi nje ya nchi. Kama mnafika mikoni, nitakuunganisha na ndugu yangu huyo anayesimamia mambo ya nyumbani wakati mimi sipo.Nina magodoro aina zote unahitaji godoro gani mkuu
Bei zikojeTupigie 0717758409 . Tunakuletea mpaka nyumbani kwa Dar es salaam na kibaha. View attachment 2962648View attachment 2962649
Huko mkoani huwezi kosa wauza magodoro. Nunua brand nzuri km tanfoamNilinunuliwa godoro na ndugu yangu nikakuta ni gumu sana unakuwa kama umelala sakafuni. Kwa bahati mbaya ni mikoani; je mna branches huko mikoani? Ninahitaji magodoro soft, ila sijui brands zizlizopo kwani mimi ninaishi nje ya nchi. Kama mnafika mikoni, nitakuunganisha na ndugu yangun huyo anayesimamia mambo ya nyumbani wakati mimi sipo.
Asante sana kwa tip hii. Nitaanza kusisitiza Tanfoam; je ,magodoro yote ya Tanfoam ni soft au inategemea na vigezo vingine zaidi?Huko mkoani huwezi kosa wauza magodoro. Nunua brand nzuri km tanfoam
Wana foam, spring. Na wana magodoro ya wenye shida ya mgongo ambayo ni magumu kama ubao.Asante sana kwa tip hii. Nitaanza kusisitiza Tanfoam; je ,magodoro yote ya Tanfoam ni soft au inategemea na vigezo vingine zaidi?
Ninataka foam lakini hata hayo magumu aliyoninunulia ndugu yangu ambayo ninalalamikia yote ni ya foam.Wana foam, spring. Na wana magodoro ya wenye shida ya mgongo ambayo ni magumu kama ubao.
Inategemea ni mkoa gani mkuuNilinunuliwa magodoro na ndugu yangu nikakuta ni magumu sana unakuwa kama umelala sakafuni. Kwa bahati mbaya ni mikoani; je mna branches huko mikoani? Ninahitaji magodoro soft, ila sijui brands zizlizopo kwani mimi ninaishi nje ya nchi. Kama mnafika mikoni, nitakuunganisha na ndugu yangu huyo anayesimamia mambo ya nyumbani wakati mimi sipo.
Tofauti yake ni ipi?260000 cover gumu
230000 cover lain
Ni kitambaa cha juu ya godoro kilivyo kuna kigumu kizuri na ingine inakitambaa chepesi sanaTofauti yake ni ipi?