Yuko wapiMzee wa kubinua pua kama beberu linatafuta harufu ya mkojo wa jike.Yale mapose yake yalikuwa yananishangaza sana.
Nahisi yupo msoga,anapiga brush viatu vya mheshimiwa mstaafu!!Yuko wapi
Nikifkiria jinsi mbuzi wasivyo na akili... Na-connect dotsYupo Musoma anafuga mbuzi
SureNikifkiria jinsi mbuzi wasivyo na akili... Na-connect dots
Baada ya mwanza aliletwa hapa Mara sisi hatuna mchezo
Akalianzisha bifu na kibaraka wa magu mkurugenzi wa butiama anaitwa maganga
Jamaa alimdai maganga rushwa kutokana na barabara itokayo makutano musoma mjini kuelekea mugumu kutokamilika Kwa kiwango cha lami
Baada ya maganga kukataa !jamaa akamlima barua ajieleze .
Maganga akampandia mkulu!
Basi siku si nyingi !ikatoka taarifa ikulu kwamba uteuzi wake umetenguliwa ......
Onyoo..tusitafutane
Don't mind me
Na maganga akapandishwa cheo kuwa DC Bukombe,Baada ya mwanza aliletwa hapa Mara sisi hatuna mchezo
Akalianzisha bifu na kibaraka wa magu mkurugenzi wa butiama anaitwa maganga
Jamaa alimdai maganga rushwa kutokana na barabara itokayo makutano musoma mjini kuelekea mugumu kutokamilika Kwa kiwango cha lami
Baada ya maganga kukataa !jamaa akamlima barua ajieleze .
Maganga akampandia mkulu!
Basi siku si nyingi !ikatoka taarifa ikulu kwamba uteuzi wake umetenguliwa ......
Onyoo..tusitafutane
Don't mind me
Nilimtaja day 1 katika kilinge cha kahawa mtaa Fulani hivi zikatoka zinazisema alishawahi kule makao makuu ya wanaoacha kuishi.Wana bodi,
Nauliza yule Mkuu wa Mkoa ambaye alikuwa Arusha baadae akahamia Mwanza ambako huko na madaraka yake ya ukuu wa mkoa alijifanya Mungu mtu sasa hivi yuko wapi?
Nakumbuka aliamrisha polisi wavamie nyumba ya Godbless lema mbunge wa Arusha saa saba ya usiku ili wamkamate kama mhaini au jambazi sugu.
Yuko wapi huyu mtu na kujitutumua kwake kote shauri ya ulevi wa madaraka.
Naomba mtu wa mwisho kumwona mtu huyo aniPM nimfuate nikamsalimie.