PrincessAnne
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 1,875
- 2,229
NimehamiaArusha umehama mkuu?
NimehamiaArusha umehama mkuu?
Ni sawa najua kuna watu mmejawa roho mbaya unacoment biashara ya mtu na hununui ni wivu wa biashara....wateja eeh mkitaka ya 3000 mtafuten huyu mkuu awatumie mana biashara ni yangu sijui unaingiza nyongo ya nini kama tunadaianaCopy zipo 3000 tu
Ha ha ha ha ha ha tulia tufanye manunuz mkuu
Ni sawa najua kuna watu mmejawa roho mbaya unacoment biashara ya mtu na hununui ni wivu wa biashara....wateja eeh mkitaka ya 3000 mtafuten huyu mkuu awatumie mana biashara ni yangu sijui unaingiza nyongo ya nini kama tunadaianaCopy zipo 3000 tu
Ha ha ha ha ha ha tulia tufanye manunuz mkuu
Mbona povu tena wewe mwenyewe umesema hata za 5000 zipo [emoji28] [emoji28] shida niniNi sawa najua kuna watu mmejawa roho mbaya unacoment biashara ya mtu na hununui ni wivu wa biashara....wateja eeh mkitaka ya 3000 mtafuten huyu mkuu awatumie mana biashara ni yangu sijui unaingiza nyongo ya nini kama tunadaiana
Wala usijal kwenye biashara tumezoea watu wa aina hii, hawanunui lakin wanaponda biashara ya mtu kama mtu amekupa mtaji, ndo kana nasema isiwe kesi wateja wa kununua waende kwake awape ya 3000 nashukiru Mungu kwa rizki zake nauza hadi natoa jasho! Maneno ya mtu si rizki [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ha ha ha ha ha ha tulia tufanye manunuz mkuu
Hakuna shida ni kukwazana kama wafanyabiashara tunaokuwa ku comment utumbo kwenye biashara ya mwenzioMbona povu tena wewe mwenyewe umesema hata za 5000 zipo [emoji28] [emoji28] shida nini
Ukweli ni utumbo?? Nakwanìni ukwazike na unauza mpaka jasho [emoji15]Hakuna shida ni kukwazana kama wafanyabiashara tunaokuwa ku comment utumbo kwenye biashara ya mwenzio
Rizki ipo palepale ongea uchoke giza liingie ulaleUkweli ni utumbo?? Nakwanìni ukwazike na unauza mpaka jasho [emoji15]
Hayaa muuza orijino [emoji23]Rizki ipo palepale ongea uchoke giza liingie ulale
CC Bonny![]()
Huyu ndo mimi naitwa Happy Samki
Mdogo wangu huyo anaitwa Flora Samki
0743664080 namba ya flora
Namba zangu wsp +255769392185
Namba ukiwa kenya +254734491211
Karibu
Ha ha ha ha ha Amenirahisishia kasema nimtafute tu mdogo wake ameshanipa namba yake kabisa
Fursa sio za kuacha mzee babaHa ha ha ha ha Amenirahisishia kasema nimtafute tu mdogo wake ameshanipa namba yake kabisa
Ahaa kabisa ngoja nikamtafute muuzaj nikawe mteja mtiifuFursa sio za kuacha mzee baba